Nahitaji chupi ngapi?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wanajamvi nina mjadala/ swali. Though wengine wanaweza kuona ni private but binafsi naona sio vibaya tukishare mawazo

  • Je hygienicallly mwanaume/ mwanamke anahitaji kuwa na minimun ya chupi ngapi anazovaa kwa wiki?
  • Je ukiwa unakwenda safari ya mwezi mmoja unatakiwa kupack chupi ngapi ?
  • Je chupi inatakiwa kuwa disposed muda gani au baada ya rotation ngapi za kutumika.?
Unaweza kuongeza maswali au kutoa majibu ambayo hata sijauliza ilimradi yalenge katika kupeana uelewa katika matumizi ya vazi hili nyeti.

Nawasilisha.
 
Usitupotezee mda.
Sisi tunajadili muktabali wa nchi na sio huu upuuzi.

Kakajambazi si ndio maana JF ina subforum za Teknolojia , siasa michezo, Uchaguzi Tanzania., Mapenzi, Dini, etc. Nadhani wewe ndo umekosea njia. hapa uko kwenye subforum ya habari mchnganyiko

Kama hujakosea njia naweza kusema kakajamabazi huna tofauti na decison makers walipo madarakani kila kitu wanapoliticise.

Angalia ulivyo na double standard unakuwa ka kinyonga. Leo uko chadema kesho uko CCM. Fuatilia some of cooments na post ulizofanya for past two weeks.

Jamani madada zetu wanarukishwa ukuta na waarabu dubai -aibuu
Kakajammbazi akasema -."Wadada wengi hawajaichangia hii topic,sijui ni victimu.Wanaochangia wameishia kusema ,,sio wote."
Password ya mume mkora/mkware
Kakajambazi akasema- "Uwe unaangalia movie za Magic Africa".
Je Password au Movie Magic au Dubai ni sehemu ya mustakabali wa nchi kwako????? . hahahhahaha.

Anyway shukrani kwa kusoma na kupata muda wa kutoa comment kwenye upuuzi. Na thanks nimekugongea kwa kutoa valued time yako kwenye upuuzi.
 
nadhani hata ukiwa na chupi moja lamsingi ni iwe safi tu,hivyo basi unaweza kufua usiku make sure asb imekauka vizuri piga pasi kuuz vijidudu then vaa,lkn kwa hii moja nina uhakika itachakaa mapema so ni vywema ukiwa na zaidi ya moja at least kila siku unavaa iliyo safi all in all cha muhimu hapa ni usafi unaweza kuwa na madazani yoooote yakawa yananuka uvundo tu.usafi muhimu kaka na hasa ukizingatia sehem yenyewe inapovaliwa chupi ni nyeti.
 
Baada ya kiranja mkuu kunikera asbh at least nimepata kitu cha kuiburudisha nafsi yangu, kwa kweli hakuna idadi ila mimi huwa navaa kila siku nabadilisha!!!!
 
kwa hiyo kama ni safi naweza kuivaa siku tatu au nne mfululizo?

Nawe huelewi, mkuu amekushauri uvae chupi safi kila siku !!! Nadhani hakuna cha zaidi hapo unachohitaji !!!
Kama wewe unaweza kuvaa chupi siku tatu mfululizo na ikaendelea kuwa safi kwa siku ya nne endelea kuvaa!!!

TOP: Vaa chupi safi kila siku ........ full stop.
 
Hii ya leo kali haya mie ninazo dazani 12.

Mjumbe ebu jaribu kuchangamanua hizo 12 matumizi yake. Zipo za casual, za kwenda kwenye "match" za siku kuu au. Ebu nipe mwanga? . naona 12 ni nyingi sana kwa mwanaume? Si tunaelimishana
 
Ili kutunza usafi unahitaji kuwa na CHUPI MBILI - unafua moja kila asuhubi unapooga then unavaa nyingine amboyo uliifua jana yake. Chupi nyingi ni gharama zisizo na msingi likewise Soksi. :smile-big::smile-big:

Safarini nakushauri tumia feni kukaushia chupi yako kama kuna mawingu ili siku inayofuata usihangaike. Jifunze kubana matumizi yasiyo ya lazima.
 
Tufunge mjadala. Vaa chupi safi. Use commonsense, chupi moja yaweza kutosha au mbili au tatu. VAA CHUPI SAFI. MWISHO.
 
unaweza kuwa naidadi yoyote mradi zisipungue mbili.inategemea na shughuli zako za kila siku.
pia kwa wale wenye tabia ya kurundika chupi ndo wanafua(japo si tabia nzuri kwa afya) basi wawe nazo kuanzia nane kwamba ya j2 hadi jumamosi anazifua huku moja ya nane kaivaa.:glasses-nerdy:
 
Ili kutunza usafi unahitaji kuwa na CHUPI MBILI - unafua moja kila asuhubi unapooga then unavaa nyingine amboyo uliifua jana yake. Chupi nyingi ni gharama zisizo na msingi likewise Soksi. :smile-big::smile-big:
Safarini nakushauri tumia feni kukaushia chupi yako kama kuna mawingu ili siku inayofuata usihangaike. Jifunze kubana matumizi yasiyo ya lazima.

Hii kali! umesoma uchumi nini Elnino?
 
Usitupotezee mda.
Sisi tunajadili muktabali wa nchi na sio huu upuuzi.

aah! mkuu! kuwa na staha kidogo!

1. Hujalazimishwa kusoma wala kuchangia hii thread .

2. Kuna jukwaa la siasa kule uende huko kama unataka mijadala ya mustakabali wa nchi.

3. Jambo unaloona upuuzi kwako linaweza kuwa la msingi kwa mwingine hivyo ni vema tukavumiliana na fikiri hiyo itabeba dhana nzima ya "home of great thinkers".

Ushauri wa bure; JF inaruhuisu pia kuwa msomaji tu na si lazima uchangie kila topic, kama ukiona huna la kuchangia ni vema ukakaa kimya.
 
Back
Top Bottom