Nahitaji chumba cha kupanga

Brodre

JF-Expert Member
Aug 23, 2012
2,351
1,372
Habari zenu wana Jamii nahitaj chumba cha kupanga Karibia na Chuo cha IFM....... Kiwe self contained Gharama maximum 1200000 kwa mwaka nisaidieni
 
Habari zenu wana Jamii nahitaj chumba cha kupanga Karibia na Chuo cha IFM....... Kiwe self contained Gharama maximum 1200000 kwa mwaka nisaidieni
kuna chumba master na jiko kipo kinondoni Tx bei 150,000 kwa mwezi miezi 10 anachukua mimi ni dalali 0657 14 5555
 
DaLALi nDio anachukua nafasi ya Kodi ambayo serikali imeshindwa kukusanyA kwa wenye majUmba

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Habari zenu wana Jamii nahitaj chumba cha kupanga Karibia na Chuo cha IFM....... Kiwe self contained Gharama maximum 1200000 kwa mwaka nisaidieni
acheni kuuza sura kaeni huko chuoni msome hamjaja mjini kuwa sharo baro.ndo nyie mwisho wa cku hata kuandika barua za kuomba kazi hamuwezi eti graduate.
 
kinondoni ntapata room na sebule kwa sh ngapi Dalali
inategemeana kwa leo kuna chumba na sebure hapa vijana kinondoni kwa sh 80,000 kwa mwezi anachukua mpaka miezi 6 . kama unataka fanya haraka njoo ulipe kesho havipo . bei huwa ni 60,000 mpaka 1,000,000 inategemeana na jinsi nyumba ilivyo
 
acheni kuuza sura kaeni huko chuoni msome hamjaja mjini kuwa sharo baro.ndo nyie mwisho wa cku hata kuandika barua za kuomba kazi hamuwezi eti graduate.

Hujaombwa ushauri kama ulishindwa kuchangia ungekaa kimya Sijui kwanini mnaruhusiwa JF. Aliyekwambia mimi mwanafunzi nani????
 
kuna chumba master na jiko kipo kinondoni Tx bei 150,000 kwa mwezi miezi 10 anachukua mimi ni dalali 0657 14 5555

Asante dalali lakini nimesema maximum iwe 1,200,000 kwa mwaka awe anachukua miezi sita kushuka chini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom