kuna chumba master na jiko kipo kinondoni Tx bei 150,000 kwa mwezi miezi 10 anachukua mimi ni dalali 0657 14 5555Habari zenu wana Jamii nahitaj chumba cha kupanga Karibia na Chuo cha IFM....... Kiwe self contained Gharama maximum 1200000 kwa mwaka nisaidieni
kuna chumba master na jiko kipo kinondoni Tx bei 150,000 kwa mwezi miezi 10 anachukua mimi ni dalali 0657 14 5555
acheni kuuza sura kaeni huko chuoni msome hamjaja mjini kuwa sharo baro.ndo nyie mwisho wa cku hata kuandika barua za kuomba kazi hamuwezi eti graduate.Habari zenu wana Jamii nahitaj chumba cha kupanga Karibia na Chuo cha IFM....... Kiwe self contained Gharama maximum 1200000 kwa mwaka nisaidieni
we mwehu nini ! wapi nimeongelea pesa ya mwezi hebu nenda wapelekee hukohuu nao ni wizi,eti dalali afu unataka kodi ya mwezi mmoja mwee
vipo mkuu . kimoja kipo msufini mwananyamalaVyumba vya elfu 30 hauna? @ Kafumu
we mwehu nini ! wapi nimeongelea pesa ya mwezi hebu nenda wapelekee huko
inategemeana kwa leo kuna chumba na sebure hapa vijana kinondoni kwa sh 80,000 kwa mwezi anachukua mpaka miezi 6 . kama unataka fanya haraka njoo ulipe kesho havipo . bei huwa ni 60,000 mpaka 1,000,000 inategemeana na jinsi nyumba ilivyokinondoni ntapata room na sebule kwa sh ngapi Dalali
vipo mkuu . kimoja kipo msufini mwananyamala
kipo hapa kinondoni kwa matx bei 150,000 miezi kumi anachukua , gari inafika mpaka ndani chumba ni master na kina kina jikohata me nahitaji chumba chenye sifa hii mtaa wowote ila sio nje ya mji
shentembaa kipo cha 40 fanya faaster njoo lipa mkuu miezi 8 anachukuaDu huko si kuna roba za mbao? Mie nataka maeneo ya kwa mengi pale au maeneo ya chentemba! Au alipokua anakaa Jide zamani.
Ha!Ha poleukweli unauma mr dalali kafumu
acheni kuuza sura kaeni huko chuoni msome hamjaja mjini kuwa sharo baro.ndo nyie mwisho wa cku hata kuandika barua za kuomba kazi hamuwezi eti graduate.