Nilivyoona mvivu nilijua kwenye mambo yetu yale , kumbe hivyo tu haina shida msaidie kufikiria kama mwenzako mvivu
Nilivyoona mvivu nilijua kwenye mambo yetu yale , kumbe hivyo tu haina shida msaidie kufikiria kama mwenzako mvivu
Maneno hayo.Mpolee
Let me start by asking you , vipi watu sorrounding him kama marafiki na wanafamilia? Je wao tabia zao ni similar? If so jaribu kumuweka karibu na wapenda maendeleo instead and see. You can never imagine the extent to which the company one keeps influences them. I know mimi personally sio a go getter but what keeps me going is modelling my life against my friends who are further in life than I. Najiulizaga "Hivi inakuwaje huyu mtu nimekaa nae darasa moja , two desks apart and he/she has achieved this, that and so on?". What am I doing wrong? In an attempt to answer these quens, ndio unakuta Im doing this and that kutafuta hiyo progress
Bwahahahhhh.mmeenda kuisaka wapi hii tene?
Mna GX zenu au mmeazima?
mpenzi wangu nampenda saana na tumedumu miaka miwili. Kasoro yake ni moja tu, mvivu sana wa kufikiria wala kujishughulisha kimaisha wala hana kabisa kufikiria mbele. Nimfanyeje abadilike kabla sijajishikisha ndoa?