Mpenzi wangu nampenda saana na tumedumu miaka miwili. Kasoro yake ni moja tu, mvivu sana wa kufikiria wala kujishughulisha kimaisha wala hana kabisa kufikiria mbele. Nimfanyeje abadilike kabla sijajishikisha ndoa?
Mpenzi wangu nampenda saana na tumedumu miaka miwili. Kasoro yake ni moja tu, mvivu sana wa kufikiria wala kujishughulisha kimaisha wala hana kabisa kufikiria mbele. Nimfanyeje abadilike kabla sijajishikisha ndoa?
@lusambo kaz anafanya ila karidhka mno hafikirii hatua gan inafuata na ni spenda mbaya mshahara wenyew wa kubabaisha
@lusambo kaz anafanya ila karidhka mno hafikirii hatua gan inafuata na ni spenda mbaya mshahara wenyew wa kubabaisha
Inabidi ukae nae uongee nae na kumuelimisha juu ya mambo ya maendeleo. Ila kama una nia nae nzuri waweza kumshauri/kumsaidia mtaji wa biashara na hata jinsi ya kuiendesha.
Wengine ndivyo walivyoumbwa ila baada ya muda anaweza kubadilika na kujitahidi mwenyewe kufanya hayo mambo mwenyewe.
Nilihisi tatizo lipo kwenye kipato tu, bila ya shaka huyo mpenzi wako kipato chake hakitoshelezi na ndiyo maana umeamua kusuppliment na biashara ili angalau kipato kiongezeke.
Ushauri wangu ni huu;
1.0 Jitahidi kuweka malengo kwa pamoja na muamue kuyafikia. Kutokana na udhaifu wa ufuatiliaji basi simamia wewe na uone kama hamtafikia
2.0 Punguza kumdis huyo mpenzi wako, ndiye uliamua kuwa nae ili mradi hakusaliti.
Mpenzi wangu nampenda saana na tumedumu miaka miwili. Kasoro yake ni moja tu, mvivu sana wa kufikiria wala kujishughulisha kimaisha wala hana kabisa kufikiria mbele. Nimfanyeje abadilike kabla sijajishikisha ndoa?
Mpenzi wangu nampenda saana na tumedumu miaka miwili. Kasoro yake ni moja tu, mvivu sana wa kufikiria wala kujishughulisha kimaisha wala hana kabisa kufikiria mbele. Nimfanyeje abadilike kabla sijajishikisha ndoa?
...ziba wewe hilo 'pengo' wakati ukimshukuru Mungu kwa kasoro yake hiyo moja..
"alalaye usimwamshe....!"
kipato chake angekua na malengo kinatosha kabsa kuamka kimaisha tatizo anaendekeza san matumiz na matanuz. Hakos maden kila cku