..Nyoka wake wa Kiunoni.Kwani huyo Zakaria ndo nani?
..Nyoka wake wa Kiunoni.
au petroli pia inasaidiaMmwagie diesel
mpe hii zakaria na mpe hongera kwa kuongezeka katimiza miaka mingapi tena?
mbona mi sjaelewa jaman
Hongera kwa kuongeza thredi na kuhakikisha kuwa kila siku hutoki bila kuanzisha uzi mpya.
muuluze dr riwa
Nakushauri usimpe tena dawa za kichina, maana usipoangalia siku nyingine utakuja na thread zenye heading za mfano huu "Nahisi na 'Mananihii' pia jamani...! Nisaidieniiii...
Kasi yake ya uongezekaji ipoje?
Ama kweli kijambo kimepata mjambaji...!
kaka unajidhalilisha kaka...!
huu ndio ushauri wako?