- Thread starter
- #21
nisipo pona....Liwa mara tatu kwa siku kwa wiki mbili...utapona. Ugua pole..dr.kirode mabwe pande hospital.wote mnakaribiswa.
nisipo pona....Liwa mara tatu kwa siku kwa wiki mbili...utapona. Ugua pole..dr.kirode mabwe pande hospital.wote mnakaribiswa.
nataka kubadilika nipe njia za kubadilika..
King'asti hiyo kwenye red ndio nini ati?! mjini nimeingia juziAs long as na wewe uko tayari kumfanyia hay mwenzi wako, it's ok. Ila taratibu tu usage ukaanza kudeka kwa wanaume wenzio, hapo itakuwa namnaganivipi flani hivi
Liwa mara tatu kwa siku kwa wiki mbili...utapona. Ugua pole..dr.kirode mabwe pande hospital.wote mnakaribiswa.
Bado Sheria haija pitishwa..
Ni kwa Mpenz wangu tu!...,Eeh! enndelea...
Ni kwa Mpenz wangu tu!...,Eeh! enndelea...
Aliyekwambia hizo ni tabia za kike nani?
ha ha ha, hujasikia jana bishanga kapigwa na mkewe baada ya kumdekea mwanamama mwingine kwenye simu tena mbele ya mkewe?
Alibuntuliwa za uso hana hamu.
Nahisi na tabia za kike katika mapenz naomba nieleweke wanajamii!!
1.Napenda sana kusifiwa kama umependeza au hakuna mwanaume mzuri kama wewe Duniani.
2.Napenda sana kufarijiwa/kujaliwa mfano kupewa pole hata kama kazi niliyo fanya ni ndogo.
3.Napenda sana kubembelezwa kila wakati kwakifupi napenda kudeka sanaaa..
4.Napenda sana kupewa za wadi hata ya pipi nitalizika.
5.Napenda sana Kukumbatiwa kila niwapo na mpenzi wangu.
nataka kubadilka bt naona kama nashindwa nipe njia za kubadilika..