bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,344
- 6,733
Loh stemborers wote walioko tumboni wangekufa!
naish nyumba ya 2 ktk rose garden, naombeni kujumuika nanyiBujibuji kama utakuwa ujafa mpaka wiki ijayo ni pm.ili tusherekehe kupona kwako apo Rose garden jumamos ijayo tukumbuke ile siku tulipokutana Arusha.unaweza kumwalika comrade Kimey.