<br />nahisi that is the right thing to do
<br />Muambie plz , si kwa simu but mfuate na mtoe out sehemu ya kawaida tu muambie ukweli unavyojisikia lakini usisahau kumuambia how special she is! Akitoa machozi dont cry back msikilize ypote atayosema kwa umakini ila usiende naye tena kwa bed. Ukiondoka siku hiyo hata kama unamuone huruma kiasi gani muache aende peke yake na ww kula road yako, ni kwa faida yake with time ataheal na kumove on ila do nt play with her feelings tell her the facts no matter the pains
<br />thanx for your advice thou ngumu lakini i will try
<br /><br />Soma ww acha kuwaza vitu ambavyo utavikuta mbeleni