Nina best yangu nampenda sana tumekuwa marafiki kwa mda mrefu san kiasi kwamba tumekuwa kama ndugu,tatizo ni kwamba sikuhiz kabadilika sana yani ananifanyia visa vya maksudi,anamajibu mabaya na dharau.kiukwel mambo haya yamepelekea tugombane sana,nimechoshwa na hali hii nikamwambia kilamtu awe na mambo yake ili tuwe na aman hataki kunielewa anadai hawezikubali urafiki wetu ufe,akaomba samahani na kusema atajirekebisha,japo kasema atajirekebisha ila hafanyi hivyo na anazidi.alichobakiza ni kusema tu samahan na hawez kuwa mbali na mimi.kwakweli moyo naona umechoka na nahisi hatutakiwi kuwa pamoja tena japo yeye hataki.hebu nishaurini wana jf nifanyeje coz sioni hata raha ya kuwa na bestfriend.ntashukuru kwa ushaur wenu.