Nahisi kufanya kitu kibaya msaada plz?

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
Wakuu kuna fundi nimempelekea laptop yangu window ilikuwa inataka niuptudate nikachelewa ikawa black kwahyo alikuwa anaweka window nyingine amefanya kazi hyo kwa kama siku mbili japokuwa iko chini ya kiwango ok comp yenyew ni hp compaq presario q40 ram 2g na procesor 1.6 lakini naangalia properties ya comp. Nimekuta data kwamba INSTALLED MEMORY(RAM) 2GB PROCESOR 1.6 af pembeni kuna CHATA(ICON) YA DELL kwa mara ya kwanza nilimuuliza akanipa majib ya juu juu af kuna jina la comp kabla ilikuwa (user) saiz nakuta ac milan haya mambo yananisumbua na yananipa mzigo na hasira naomba maelezo wataaram je haya mabadiliko kawaida au ni nin?
 
Wakuu kuna fundi nimempelekea laptop yangu window ilikuwa inataka niuptudate nikachelewa ikawa black kwahyo alikuwa anaweka window nyingine amefanya kazi hyo kwa kama siku mbili japokuwa iko chini ya kiwango ok comp yenyew ni hp compaq presario q40 ram 2g na procesor 1.6 lakini naangalia properties ya comp. Nimekuta data kwamba INSTALLED MEMORY(RAM) 2GB PROCESOR 1.6 af pembeni kuna CHATA(ICON) YA DELL kwa mara ya kwanza nilimuuliza akanipa majib ya juu juu af kuna jina la comp kabla ilikuwa (user) saiz nakuta ac milan haya mambo yananisumbua na yananipa mzigo na hasira naomba maelezo wataaram je haya mabadiliko kawaida au ni nin?
Jina la computer inawezekana amebadilisha wakatia anaweka windows mpya.... iyo chata unayosema unaiona mwanzoni ilikua inaonekana chata gani au haukuona kitu chochote??
 
dell na Hp mbona sijaelewa? Hebu punguza hasira useme vizuri.
 
dell na Hp mbona sijaelewa? Hebu punguza hasira useme vizuri.

ni kwamba nnapoangalia properties ya komputer khs ram na processor pembeni naona chata ya dell swala ambalo sijawahi liona kabla kwa mimi nadhani kuna mfumo kabadilisha kwani jama ni kawaida hili swala kwasab mi naangalia properties za laptop yangu hp af naona chata ya dell je inawezekana?
 
kaka kama hukumuamini kwanini umpe comp yako, hapa mi naona utakuwa unamuonea hii case ni kwamba ametumia windows xp royale au ametumia xp meant for dell pc's ndio maana umeona hiyo "chata ya dell" hata ukianagalia properties ni zilezile. kwa ufupi tafuta window nyingine nzuri halafu woga wako kwisha. Acha hisia zako mbaya au umezoea kuibiwa
 
Acha ushamba,amekuekea pirated window kama ilikuwepo apo awali,kanunue origina $ 200 tu apo PC SOLUTION mtendeni str.
 
unaweza kubandika screenshot ya hiyo properties window? Fuata procedure hii:
fungua hiyo properties window
bonyeza alt+print scr buttons
nenda start--- program files -- accesories -- MS Paint
click edit-- paste
file -- save
attach JF
nataka kuona kama OS ndio ya Dell au amebadili motherboard (unlikely) kuwa ya dell
 
Mpeleke polisi.

Umekosoa jukwaa wewe? huku sisi tunafundishana tu,haya majibu peleka jukwaa la wakubwa,mahusiano nk,jukwaa hili siyo la majibu kama haya

hapa watu wanashusha vitu tu,Nilikuwa nakuheshimu sana lakini naanza kukuelewa kivingine kwani hata signature yako inassema kwenye red !
"Show forgiveness, speak for justice and avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)
 
Jamani inawezekana, os window mpya alokuwekea ameitoa kwenye os cd ya dell ambayo ilitoka na mashine dukani, its posbo mzeya wala hujaibiwa ila ameinstall window ya dell ilotoka dukani na mashine ya dell
 
kaka isue ya kawaida hiyo .As long ram yako iko vile vile ,nikwamba katumia cd original ya window sema ilikuwa aimed for dell hata isikusumbue akili we fanya isue zako tu,labda kama hiyo window inazingua badilisha weka nyingine.
 
Wakuu kuna fundi nimempelekea laptop yangu window ilikuwa inataka niuptudate nikachelewa ikawa black kwahyo alikuwa anaweka window nyingine amefanya kazi hyo kwa kama siku mbili japokuwa iko chini ya kiwango ok comp yenyew ni hp compaq presario q40 ram 2g na procesor 1.6 lakini naangalia properties ya comp. Nimekuta data kwamba INSTALLED MEMORY(RAM) 2GB PROCESOR 1.6 af pembeni kuna CHATA(ICON) YA DELL kwa mara ya kwanza nilimuuliza akanipa majib ya juu juu af kuna jina la comp kabla ilikuwa (user) saiz nakuta ac milan haya mambo yananisumbua na yananipa mzigo na hasira naomba maelezo wataaram je haya mabadiliko kawaida au ni nin?
Pole sana,, kwanza ondoa hofu computer haijaharibika/haijaharibiwa ila inaonekana fundi ni wakimagumashi alichofanya jamaa ameinstall window isiyo na original product key so alipomaliza kuinstall hiyo window feki ilimlazimu ai-crack ili product key ya window ionekane ipo activated then wakati wa ku-crack alikosea kuchagua OEM ya aina ya computer yako..yeye alichagua OEM ya dell badala ya HPCompaq...ILA HAINA EFFECT YEYOTE KAMA UNAONA COMPUTER HAIPO KWENYE HALI YAKE YA KAWAIDA(procesing speed) UNAWEZA UKAFORMAT TENA KWA FUNDI WA UKWELI AKAKUWEKEA WINDOW AMBAYO NI NZURI,,,
 
Kweli kuna watu wana presha za kujitakia! Yaani emotions zote hizo juu ya icon,tena ambayo hujaielewa? How do u handle life stress?unaagiza jitu spare ya $ 1000, afu anakuletea the wrong one na gharama ya kuirudisha ni kubwa!? Si utaua bure?
 
Kweli kuna watu wana presha za kujitakia! Yaani emotions zote hizo juu ya icon,tena ambayo hujaielewa? How do u handle life stress?unaagiza jitu spare ya $ 1000, afu anakuletea the wrong one na gharama ya kuirudisha ni kubwa!? Si utaua bure?

my thoughts exactly!
 
kaka isue ya kawaida hiyo .As long ram yako iko vile vile ,nikwamba katumia cd original ya window sema ilikuwa aimed for dell hata isikusumbue akili we fanya isue zako tu,labda kama hiyo window inazingua badilisha weka nyingine.

ok thanks wakuu nimewaelewa sana na mapigo ya moyo yaishakuwa normal. Thanks again bt naomba kujulishwa kuhusu mother board ya laptop na je inaweza badilishwa?
 
Back
Top Bottom