The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Na wewe mtege!!!!
Mkuu,
Kama "analipa", tafuna!
Jihadhari huenda ni mtego wa mkeo kukupima imani. Pia huenda huyo msichana anataka kukuharibia ndoa yako.
Kuna baadhi ya wasichana wa kazi ukisha tembea naye unamsahau jumla mkeo
Kutokana na tabia za wanaume sipendi kuamini kuwa kwa maelezo uliyotuambia umemuacha kumtafuna. Wanaume wenye subra na uvumilivu kwenye eneo au mazingira uliyotuambia niwachache sanaaaa sidhani kama wewe ni mmojawapo.
I Second the motion. Unajuaje kama na wewe mkeo huko aliko kama hatafunwi?
Jamani tatizo langu la kupwaya na kondom ndio kipimo hasa cha uaminifu wangu.Angekuwa kasema BUJIBUJI ndio ungemuamini eti ehh!!!!
Na wewe mtege!!!!
Pole sana Sumbalawinyo huyo beki Tatu waifu akirudi mwambie atafute mwingine ..
Unaweza kujitahidi kuyashinda majaribu one day yes kitu kidogo tu kikaondoa uaminifu wako kwa mkeo .
yaani hivi vibeki tatu vina matatizo sana sijui vikoje
Kama Mrs wake amemletea HG anayevutia unategemea sasa afanye nini? Just do It and forget It - otherwise itakuwa ni usumbufu wa kila mara
I Second the motion. Unajuaje kama na wewe mkeo huko aliko kama hatafunwi?
are u sure that he can just do and forget it?