Nahisi Haus gel wangu ananitega

Kutokana na tabia za wanaume sipendi kuamini kuwa kwa maelezo uliyotuambia umemuacha kumtafuna. Wanaume wenye subra na uvumilivu kwenye eneo au mazingira uliyotuambia niwachache sanaaaa sidhani kama wewe ni mmojawapo.
 
Jihadhari huenda ni mtego wa mkeo kukupima imani. Pia huenda huyo msichana anataka kukuharibia ndoa yako.
Kuna baadhi ya wasichana wa kazi ukisha tembea naye unamsahau jumla mkeo

Teh teh, mitego mingine haifai, utafikiri off side trick bwana, refa na mshika kibendera wanaweza kuminya, jamaa akapiga bao mnabaki kulaumiana
 
mfahamishe kistaarabu,mwambie ajiheshimu kimavazi na umwambie mara kwa mara jinsi unavyompenda mke wako,maybe atajisikia vibaya kwa mitego yake.mmh watu wengine hawana aibu jamani,sijui ni dhiki maana huwa sielewi kwa kweli
 
Angekuwa kasema BUJIBUJI ndio ungemuamini eti ehh!!!!
Kutokana na tabia za wanaume sipendi kuamini kuwa kwa maelezo uliyotuambia umemuacha kumtafuna. Wanaume wenye subra na uvumilivu kwenye eneo au mazingira uliyotuambia niwachache sanaaaa sidhani kama wewe ni mmojawapo.
 
Kaazi kwelikweli, nakushauri umpotezee tu huyo. Atakuharibia ndoa na heshima yako mtaani kwako maana hayo yakishatokea huwa hayafichiki.
 
mie wa kwangu nishamzoea. anatembea na skirt kata K' nikiwepo alone home. ila nambwatukiaga avae vizuri nikishaburudisha macho. hahaha.
Kuwa msanii raha sana maana kuna majaribu unayavuka kiurahisi.

Ndugu kama huyo HG analipa fuata ushauri wa Baba Enock
 
:hug:Tatizo hii story imekuwa edited sana kuna vionjo vingi sana umeviondoa
hapa sasa inakuwa ngumu sana kuchangia.
 
Pole sana Sumbalawinyo huyo beki Tatu waifu akirudi mwambie atafute mwingine ..
Unaweza kujitahidi kuyashinda majaribu one day yes kitu kidogo tu kikaondoa uaminifu wako kwa mkeo .
yaani hivi vibeki tatu vina matatizo sana sijui vikoje
 
Kwa sababu analala kwako, anakula kwako na bado unamlipa ukigonga mnakuwa EVEN.........so acha kuremba......koz mkeo hakupendi...atakuachaje na beki 3 mkali????? anataka ummege na usimuangushe mkeo ndugu yangu.....Kamua bila huruma...........
 
Pole sana Sumbalawinyo huyo beki Tatu waifu akirudi mwambie atafute mwingine ..
Unaweza kujitahidi kuyashinda majaribu one day yes kitu kidogo tu kikaondoa uaminifu wako kwa mkeo .
yaani hivi vibeki tatu vina matatizo sana sijui vikoje

Teh teh, inabidi tuvibadilishe tuvipeleke vicheze beki ya kushoto au tuvipige benchi kabisa!
 
tuache utani hata wewe unapenda! Kauli tu ya kusema ukalale nae inatosha kumpa kalipio kali. La sivyo mtego huo unakuhusu....dhibiti situation hii kabla coz anaweza kugeuza kibao kuwa unamtaka. Ikiwa hivyo ni worse coz hd uje ukatae kuwa si kweli nafkri mtakuwa mshaanza kulala mzungu wa nne na wife wako. Rescue situation kwa kumgusia shemeji yetu, otherwise hg ataleta mbwembwe na hatimae kuzua tafran.
 
kwa maelezo yako inaonesha kama vile tayari umemchakachua hivi,hebu tuambie ukweli kuhusu hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom