Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Mimi napenda sana Tigo siwezi kuhama, ata Katavi alikuwa Voda saizi nae kahamia Tigo anapenda kweli, kama unaona hasara saizi Mchina katoa sim Line 4
Acheni kutuchanganya. Hiyo airtel mnayoisifia ina nini cha kujivunia? Kwanza hawana msimamo mara leo Celtel, kwesho Zain kwesho kutwa Airtel yani mpaka wanachosha. Cha ajabu hata wao hawajiamini kabisa ndo maana ukijaribu kuwapigia simu utapigiwa nyimbo za matangazo mpaka asubuhi hawapokei simu kabisa. Sasa huo ubora wa huu mtandao ni upi? naomba mniambie.
Mimi napenda sana Tigo siwezi kuhama, ata Katavi alikuwa Voda saizi nae kahamia Tigo anapenda kweli, kama unaona hasara saizi Mchina katoa sim Line 4
Acheni kutuchanganya. Hiyo airtel mnayoisifia ina nini cha kujivunia? Kwanza hawana msimamo mara leo Celtel, kwesho Zain kwesho kutwa Airtel yani mpaka wanachosha. Cha ajabu hata wao hawajiamini kabisa ndo maana ukijaribu kuwapigia simu utapigiwa nyimbo za matangazo mpaka asubuhi hawapokei simu kabisa. Sasa huo ubora wa huu mtandao ni upi? naomba mniambie.
Kweli kabisa Tigo wametulia...Mimi napenda sana Tigo siwezi kuhama, ata Katavi alikuwa Voda saizi nae kahamia Tigo anapenda kweli, kama unaona hasara saizi Mchina katoa sim Line 4