Nagombea Remote na Watoto!

Una DSTV ya kuchakachua wewe, hao waliokuwekea hiyo cable hawakukuambia,,, hiyo channel ya kiswahil ni Africa magic swahili,,, nimeshakumbana na hao jamaa wanataka wanifungie kwa Laki 4 na nitakuwa silipii tena sema masharti yake hakuna plan your view wala dstv touch kucheki timetable,,

Pia kuhusu msaada ni bora ujumuike na watoto wako sitting room ujue wanaangalia nini, na uwajengee kuwa uptodate kwa kuchek television zenye mafunzo like mindset learn, discovery etc,, kama sio mpenzi wa Bar usianze kwenda bar eti unakimbia wanao maana huko utakutana na ma Bar maid wapo kwenye mawindo na shepu zao za mchina wakakuchanganya hadi ukakosa muda wa kurudi nyumbani,,,

Kama mkeo mnashare common interest Jinunulien TV nyingine muweke room kwenu wakati madogo wanaenjoy cartoon, na we na wife mnacheki Room, yaani full happy family no bugudha,,,
 
Hili wala siyo tatizo mbona...

Wewe nunua tivii yenye feature ya Picture in picture. Ukiwa nayo ya hivyo wewe unaweza ukaangalia vipindi vyako huku na wao wakijinafasi na akina Pink Panther au Popeye the sailor man na wote mkawa mko kwenye sofa mkiangalia.

Hahahahaaaaaaaaaaaa! kweli nimeamini ukiwa una maudhi ingia jf, utafurahi tu na kutoka roho kwatuuuuuuuuuuuu huku ukiwa umemsamehe kabisa alokuudhi, mweee!
 
Hahahahaaaaaaaaaaaa! kweli nimeamini ukiwa una maudhi ingia jf, utafurahi tu na kutoka roho kwatuuuuuuuuuuuu huku ukiwa umemsamehe kabisa alokuudhi, mweee!

Kilichokufurahisha ni nini hapo Ndyoko? Nimetoa ushauri ambao siyo, au inakuwaje?
 
Una DSTV ya kuchakachua wewe, hao waliokuwekea hiyo cable hawakukuambia,,, hiyo channel ya kiswahil ni Africa magic swahili,,, nimeshakumbana na hao jamaa wanataka wanifungie kwa Laki 4 na nitakuwa silipii tena sema masharti yake hakuna plan your view wala dstv touch kucheki timetable,,

Pia kuhusu msaada ni bora ujumuike na watoto wako sitting room ujue wanaangalia nini, na uwajengee kuwa uptodate kwa kuchek television zenye mafunzo like mindset learn, discovery etc,, kama sio mpenzi wa Bar usianze kwenda bar eti unakimbia wanao maana huko utakutana na ma Bar maid wapo kwenye mawindo na shepu zao za mchina wakakuchanganya hadi ukakosa muda wa kurudi nyumbani,,,

Kama mkeo mnashare common interest Jinunulien TV nyingine muweke room kwenu wakati madogo wanaenjoy cartoon, na we na wife mnacheki Room, yaani full happy family no bugudha,,,

Ubarikiwe mkuu na usihi maisha marefu.
 
Kilichokufurahisha ni nini hapo Ndyoko? Nimetoa ushauri ambao siyo, au inakuwaje?

Spati picha ya hiyo tv, na hivi nilivyo na shida ya kuona mbali-hata umbali wa mita tano- hivyo nahisi kama ntakuwa napiga chabo mkuu. Wala hujaongea kitu kibaya mkuu.
 
si unajua vitivii vya sisi walalhoi, ni vya inchi 21 ukijikamua sana inchi 24
 
Spati picha ya hiyo tv, na hivi nilivyo na shida ya kuona mbali-hata umbali wa mita tano- hivyo nahisi kama ntakuwa napiga chabo mkuu. Wala hujaongea kitu kibaya mkuu.

Uko wapi kwani? Tanzania? Tivii za hivyo hazijafika bongo kwani?
 
Hili wala siyo tatizo mbona...

Wewe nunua tivii yenye feature ya Picture in picture. Ukiwa nayo ya hivyo wewe unaweza ukaangalia vipindi vyako huku na wao wakijinafasi na akina Pink Panther au Popeye the sailor man na wote mkawa mko kwenye sofa mkiangalia.
NN brother umenikumbusha kitambo this cartoons
 
vp, mtu wangu! unaiharibu nyumba yako mwenyewe. weka ratiba ya kuangali TV kwa wanao. sio kila saaa. wazingatie kwanza masomo. kwani ni muda gani huo mnagombania remote na watoto? nikidhani wanaporudi shuleni jioni homework kwanza, kufanya matayarisho yao binafsi kwa ajili ya kesho na mengine madogo madogo. utakuta ule muda wa TV ni wakati wa kula tu. tena marufuku mtoto kuangalia TV baada ya saa nne, awe ni wa sekondari au msingi, wote kitandani na kwa wale wakubwa Study room. na wewe ni muda gani huo unao nyumbani wa TV? mipira sio kila siku na wala hizo program unazo sema sio kila siku. ili kuwatia displine weka ratiba kama baba. unachekesha kweli

Hapo kwenye red n bolded: kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Huko juu umetoa ushauri mzuri ila ndo umemalizia kwa mcharuko haswaaaaaa!
 
Uko wapi kwani? Tanzania? Tivii za hivyo hazijafika bongo kwani?

Najua zipo ila sikuwahi kufikiria kuwa nayo, nilikuwa na jirani yangu alikuwa nayo long time ago, tulikuwa tunatumia hyo feature kuvuzia program kwenye channel nyingine huku tukiwa tunaangalia channel ya pili. Hata hivyo nimekuelewa kaka, i value your opinion mkuu!
 
wapangie watoto muda wa kuangalia katuni zao, mf. jioni wakimaliza homework etc. Na uwaambie kabisa ikifika saa fulani ndi mwisho. Baada ya muda fulani watazoea. Pia walaze mapema mf. saa 2 usiku then wewe na mkeo mnaweza angalia vipindi vyenu.
 
NN,Zshafika bwn,bongo c kama mbele tu nwdays!kila kitu unapata,tatizo huku uswazi wa2 watakuona eti unapendaga makuu.

Kwa jinsi jamaa alivyocheka nikadhani labda wazo nililolipendekeza lilikuwa la ajabu sana.

Ukipata kitu plasma tena HD 1920x1080i chenye hiyo feature inakuwa mwake sana.
 
tatizo ukitumia hiyo picture in picture huwezi kusikiliza sauti ya moja, ni animations tu! sasa starehe inapungua inakua kama album ya mpira banaa! ila muhimu pia ni kulea watoto ambao sio selfish. aisee, vitoto vya siku hizi selfish hadi vikikutana na vyenzao kwenye play park anataka kuhodhi treni anasema ya kwake! unatamani kuzabua katoto ka watu ila mamake amenyamaza tu haongei kitu unatamani uhamie kwenye kuzabua mama mtu! kha!
Hili wala siyo tatizo mbona...

Wewe nunua tivii yenye feature ya Picture in picture. Ukiwa nayo ya hivyo wewe unaweza ukaangalia vipindi vyako huku na wao wakijinafasi na akina Pink Panther au Popeye the sailor man na wote mkawa mko kwenye sofa mkiangalia.
 
Sure!tena cku hz 2natumia na cable za HDMI Badala ya vile njano na red,lol,techn inasaidia
Kwa jinsi jamaa alivyocheka nikadhani labda wazo nililolipendekeza lilikuwa la ajabu sana.

Ukipata kitu plasma tena HD 1920x1080i chenye hiyo feature inakuwa mwake sana.
 
tatizo ukitumia hiyo picture in picture huwezi kusikiliza sauti ya moja, ni animations tu! sasa starehe inapungua inakua kama album ya mpira banaa! ila muhimu pia ni kulea watoto ambao sio selfish. aisee, vitoto vya siku hizi selfish hadi vikikutana na vyenzao kwenye play park anataka kuhodhi treni anasema ya kwake! unatamani kuzabua katoto ka watu ila mamake amenyamaza tu haongei kitu unatamani uhamie kwenye kuzabua mama mtu! kha!

Ni kweli King'asti. Ila sasa bora lipi? Uwanyime kabisa uhondo watoto au uwape uhondo robo tabu? Mimi nadhani kama watoto wanaangalia vikaragosi wanakuwa hawako interested sana maneno. Kwanza vikaragosi vingi haviongeagi. Angalia Tom and Jerry kwa mfano. Wao ni kufanyiana. Longo longo hakuna. Sasa hapo baba unaweza ukawa unaangalia Nightline ABC huku wao wakimwangalia Spongebob Square Pants kwenye Cartoon network na wote mkafaidi na kuridhika.
 
Jamani hii kitu imekuwa inanisumbua kwa muda sasa ndani ya nyumba! Hivi karibuni nimefunga cable service kutoka kwenye kampuni moja hapa nnapoishi. Binafsi hawa jamaa wana channel nyingi za mpira, wanyama, cartoon, movies, yaani ni kama dstv kwa asilimia 100. Kwa bahati mbaya-kwangu- na nzuri kwa watoto, ni kwamba kuna channel moja ya movie za akina kanumba-namaanisha za kiswahili.

Kivumbi ni kwamba karibu watoto wote wanapenda kuangalia kama sio movie za kiswahili basi ni katuni. Yaani muda mwingi wamekuwa wakifanya hivyo, na wanaponiona mimi nakuja, utaona kabisa ni kama wanakosa raha maana wanajua, hapa Baba anakuja kubadili channel na kuweka kama sio channel ya mpira, basi ni discovery world au geographic channe, au animal planet au geographic wild, cnn, sky news au bbc. Hali hii nimeiona kwa muda mrefu sasa mpaka nimefika mahali nimeona kama naingilia uhuru wa members wengine wa familia, kwa maana nahisi wanaanza kuniona mimi kama mbinafsi vile. Imefika mahali sasa nimeamua kutokaa sebuleni, najifungia chumbani na kufanya kazi nyingine huku nikijua kuwa kuna mambo ya maana nayakosa lakini ntafayaje sasa watoto wenyewe wana mind wakiona nahamisha program wanazozipenda.

Kwa kuwa nimehisi huenda wanashindwa tu kusema, nami sijui nifanyeje maana kama kuna mpira au kuna issue ambayo ni 'educative' huwa najikuta nahamisha channel ili kuangalia hiyo progam bila kujali hiyo mipicha yao ya kina kanumba.

Hebu wakuu naombeni ushauri wenu, nifanyeje au nyie mnatumia njia gani, ili watoto waone kuwa na wewe kama mzazi unajali interest zao? Nakwazika, sasa kukosa mpira, kisa katoto ka chekechea kamekomalia remote kuangalia katuni/movie za kina kanumba wakati mie nataka nione Arsenal inavyochabangwa na kina Drogba. Nishaurini wakuu njia nzuri ipi nitumie ili watoto wasione kuwa Dingi Mnoko!

Nawasubiria!

Nami ilinitokea ishu kama yako chanel ya Katuni na African Magic Swahili nilichofanya nikawek TV nyingine chumbani
 
Usisahau kuwakumbusha na umuhimu wa masomo hao watoto wako maana inaonekana wapo busy na tv kuliko home work.
 
Back
Top Bottom