MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,856
- 6,213
Una DSTV ya kuchakachua wewe, hao waliokuwekea hiyo cable hawakukuambia,,, hiyo channel ya kiswahil ni Africa magic swahili,,, nimeshakumbana na hao jamaa wanataka wanifungie kwa Laki 4 na nitakuwa silipii tena sema masharti yake hakuna plan your view wala dstv touch kucheki timetable,,
Pia kuhusu msaada ni bora ujumuike na watoto wako sitting room ujue wanaangalia nini, na uwajengee kuwa uptodate kwa kuchek television zenye mafunzo like mindset learn, discovery etc,, kama sio mpenzi wa Bar usianze kwenda bar eti unakimbia wanao maana huko utakutana na ma Bar maid wapo kwenye mawindo na shepu zao za mchina wakakuchanganya hadi ukakosa muda wa kurudi nyumbani,,,
Kama mkeo mnashare common interest Jinunulien TV nyingine muweke room kwenu wakati madogo wanaenjoy cartoon, na we na wife mnacheki Room, yaani full happy family no bugudha,,,
Pia kuhusu msaada ni bora ujumuike na watoto wako sitting room ujue wanaangalia nini, na uwajengee kuwa uptodate kwa kuchek television zenye mafunzo like mindset learn, discovery etc,, kama sio mpenzi wa Bar usianze kwenda bar eti unakimbia wanao maana huko utakutana na ma Bar maid wapo kwenye mawindo na shepu zao za mchina wakakuchanganya hadi ukakosa muda wa kurudi nyumbani,,,
Kama mkeo mnashare common interest Jinunulien TV nyingine muweke room kwenu wakati madogo wanaenjoy cartoon, na we na wife mnacheki Room, yaani full happy family no bugudha,,,