Soko la degree ya
kiswahili ni kubwa ndani na nje kuliko hilo la uandishi wa habari.Soko
la uandishi wa habari limefurika ndani na nje kupata ni kazi hasa by the
time unamaliza utajikuta huna kazi utaanza kutukana serikali kuwa
wasomi haiwapi ajira!
hello,me naomba list ya career za science and art ambazo zina soko kuabwa nje na ndani ya tz.thaks