baada ya kufunga ndoa nadhani sitakuwa mtoto tena kwani kwa mujibu wakabila letu kijana ambae hajaoa hutambulika ni mtoto hata kama ana miaka 90. Sasa nawataka wana Chit Chat mpendekeze jina ambalo litafaa kwa ajili ya ID yangu mpya
nawasilisha
Kweli kabisa una haki ya kuhamua chochote kuhusu jina lako!
Charmingman
ahsante mwanasheria wetu, ntapitia majina yatakayopita tukiwa na mama watoto charminglady ili tupate moja zuri
kwanza we jamaa mi nataka kusafiri kwenda dar, vipi kesho huendi job? au lini utakuwa off? Chimbuvu
mi nimetoka church nilikuwa na njaa kweli,nikawa mj nakula,mbona ghafla hivyo na magep hujanifundisha sa ntakuwa mgeni wa nani mimi?lini unaondoka?
Hahahahahahahaha sasa mbona hukuniambia shem?
Naenda yatch club kwenye harusi sa hv,then ntaangalia magap kukopy na kupaste ktk harusi yako na charminglady,kwa kweli nimejitoa kwa hali na mali kufanikoisha ndoa yenu,na waliokuwa wanapost kutumia username yangu ni hackers,nipo kinyume nao wala sio mimi kabisa wanataka kunichafulia jina baada ya kujua nataka kugombea ubunge jimbo la ilemela mwaka 2015 kwa kuwa tunaona mbunge tuliyemchagua tulimpigia kura aende akakae dar akaamua kukimbia jimbo lake,vijana tupo tuna uchungu na jimbo letu na nchi yetu vilevile.asanteni sana.