UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Usijari mkuu hata mie naona tunapata tabu kuelewana ila twende taratibu pengine tunaweza kuelewana.Aisee samahani lakini ingawa nimegundua ninafanya converstation na mtu ambae ni mgumu sana kuelewa.
Soma jibu langu lina majibu yote YA KWANINI NAAMINI KUNA MUNGU.
Katika majibu hayo sijahusisha maandiko hata sehemu moja.
My regards
Utambuzi wako wewe kuhusu uwepo wa mungu hausiani na dini,ndivyo?