MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
ukiniuliza hilo swali siwezi kujibu tangazo hilo lilibandikwa kahama nadhan kama kuna mkazi wa kahama hum atakua shahidi karibia kila nguzo ya umeme nyumba za biashara kulikua na tangazo hilo, sijui kosa nikuwajulisha au kosa kuliweka hum sina taarifa zozote sababu niliona tangazo ni nikalileta hum ndani
jamani naombeni muwe makini na hawa watu wanaobandika ovyo matangazo ya kazi mitaani. kwa uzoefu wangu hiyo kazi sio kweli. watu wengi wa kahama wanadanganya watu na kuwalia fedha zao. utaratibu ni kwamba kama kweli wangetaka kazi zote huwa jamaa wanafuata utaratibu na kutangaza kwenye magazeti na mitandao. Miezi michache iliyopitwa wamekamatwa watu wengi wanaolia watu fedha kwa jina la BARRICK.
be careful, kuhusu security officers 90% huchukuliwa kutoka JKT na huwa wanafanyiwa interview huko huko kambini.