samvande2002
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 413
- 34
Jamani nina shida na ofisi za CHADEMA jimbo la ukonga, zipo sehemu gani?
Mtu anisaidie kunielekeza.
thanks
Mtu anisaidie kunielekeza.
thanks
Umetumwa nini?
Kwani kuna shida gani kama unafahamu ofisi ilipo kumwelekeza huyu ndugu; ametumwa na nani? Kwnai hizo ofisi zina nini? Kwani nini kuleta majibu ya kujihami; hii inaweza kupelekea watu kuamini kwamba CHADEMA ni chama cha Kimafia, hata ofisi hazipaswi kuwekwa bayana.
jamani na mimi naomba kujua ofisi ya chadema jimbo la ukonga iko sehemu gani?
nataka kwenda kukata kadi ya uanachama