Sita Sita
JF-Expert Member
- Aug 25, 2008
- 1,393
- 511
habari wana JF
Natafuta Nyumba ya kuishi maeneo ya Kurasini, Karume au karibu na mjini.
Iwe ya chumba kimoja au viwili vya kulala pamoja na Nakshi nyingine muhimu ndani ya nyumba kama Jiko, Sebule, Choo na bafu. Maji na usalama ni muhimu zaidi. Sina gari hivyo sihitaji eneo la parking. kwa hiyo hata kwenye flats panalipa.
Kuna bro wangu naye anatafuta house maeneo ya Africasana karibu na kanisa la Mwenge. Iwe na 3bedrooms, Maji, Security na eneo nje la kuegesha magari kadhaa.
Nyumba zinahitajika kwa kupanga au kununua kama ni nzuri sana na bei iko poa.
Mwenye info aniPM au contact me kwenye +255 713 690603. Uliza SitaSita
Natafuta Nyumba ya kuishi maeneo ya Kurasini, Karume au karibu na mjini.
Iwe ya chumba kimoja au viwili vya kulala pamoja na Nakshi nyingine muhimu ndani ya nyumba kama Jiko, Sebule, Choo na bafu. Maji na usalama ni muhimu zaidi. Sina gari hivyo sihitaji eneo la parking. kwa hiyo hata kwenye flats panalipa.
Kuna bro wangu naye anatafuta house maeneo ya Africasana karibu na kanisa la Mwenge. Iwe na 3bedrooms, Maji, Security na eneo nje la kuegesha magari kadhaa.
Nyumba zinahitajika kwa kupanga au kununua kama ni nzuri sana na bei iko poa.
Mwenye info aniPM au contact me kwenye +255 713 690603. Uliza SitaSita