Nafasi za masomo ngazi ya Diploma na Certifacate

Gideerast

Member
Jun 27, 2015
56
3
Mkuu wa chuo cha Eden Hills College -Mlandizi Kibaha, anatangaza nafasi za masomo ngazi ya Diploma na Certificate,kwa wahitimu wa kidato cha NNE,SITA,VETA au zaidi.Kozi zinazo tolewa ni pamoja na UANDISHÎ WA HABARI NA MAWASILIANO YA UMMA,UALIMU,BIASHARA NA UTAWALA.PIA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU NA NYARAKA,UHASIBU NA USIMAMIZI WA FEDHA,KOMPYUTA ,UREMBO NA MITINDO. Wasiliana na Mkuu wa chuo 0719318278 Kibaha
 
Mkuu wa chuo cha Eden Hills College -Mlandizi Kibaha, anatangaza nafasi za masomo kwa wahitimu wa kidato cha NNE,tank,VETA au said I.Kazi zinazo tolewa no pamoja na UANDISHÎ WA HABARI NA MAWASILIANO YA UMMA,UALIMU,BIASHARA NA UTAWALA.PIA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU NA NYARAKA,UHASIBU NA USIMAMIZI WA FEDHA,KOMPYUTA ,UREMBO NA MITINDO. Wasiliana na Mkuu wa chuo 0719318278 Kibaha
ualimu level gani mnatoa?
Na kwa masomo gani arts o science?
 
Mkuu wa chuo cha Eden Hills College -Mlandizi Kibaha, anatangaza nafasi za masomo ngazi ya Diploma na Certificate,kwa wahitimu wa kidato cha NNE,SITA,VETA au zaidi.Kozi zinazo tolewa ni pamoja na UANDISHÎ WA HABARI NA MAWASILIANO YA UMMA,UALIMU,BIASHARA NA UTAWALA.PIA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU NA NYARAKA,UHASIBU NA USIMAMIZI WA FEDHA,KOMPYUTA ,UREMBO NA MITINDO. Wasiliana na Mkuu wa chuo 0719318278 Kibaha
UALIMU CHETI ULASHAFUTWA
 
Mkuu wa chuo cha Eden Hills College -Mlandizi Kibaha, anatangaza nafasi za masomo kwa wahitimu wa kidato cha NNE,tank,VETA au said I.Kazi zinazo tolewa no pamoja na UANDISHÎ WA HABARI NA MAWASILIANO YA UMMA,UALIMU,BIASHARA NA UTAWALA.PIA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU NA NYARAKA,UHASIBU NA USIMAMIZI WA FEDHA,KOMPYUTA ,UREMBO NA MITINDO. Wasiliana na Mkuu wa chuo 0719318278 Kibaha
 
Mkuu wa chuo cha Eden Hills College -Mlandizi Kibaha, anatangaza nafasi za masomo ngazi ya Diploma na Certificate,kwa wahitimu wa kidato cha NNE,SITA,VETA au zaidi.Kozi zinazo tolewa ni pamoja na UANDISHÎ WA HABARI NA MAWASILIANO YA UMMA,UALIMU,BIASHARA NA UTAWALA.PIA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU NA NYARAKA,UHASIBU NA USIMAMIZI WA FEDHA,KOMPYUTA ,UREMBO NA MITINDO. Wasiliana na Mkuu wa chuo 0719318278 Kibaha
Mkuu naomba kujua. Hivi hawa watu baada ya graduation huwawanapata kazi????? Au ndo wakishamaliza hamuhitaji kujua wanaenda kuishi vip. Na je mshafanya research ya job market ya hizo course mnazo toa???. Isijekuwa tunaleta watoto wanamaliza vyuo afu wanatoka kama tulivo waleta!!!!
 
MKuu was Chuo Cha Eden Hills College,Chuo bore Cha Ualimu,Uandishi wa Habari,Biashara,Uongozi,Uhasibu,Kompyuta,Utunzaji nyaraka na kumbukumbu,Masoko,Ugavi na Manunuzi,Urembo na Mitindo.
SIFA ZA KUJIUNGA NI:Elimu ya kidato Cha 4,6 au VETA au Zaidi.
CHUO KIMESAJILIWA NACTE PWF/060p.Tunahostel kwa wavulana na wasichana.
Wasiliana NA MKUU WAS CHUO KWA SIMU NAMBA:0789343435,0756220978,0715318278 na 0719318278
Pie TUNA NAFASI ZA QT NA RESITERS
 
Back
Top Bottom