Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,135
- 26,637
Nani kakwambia jeshi wanatumaga applications tu, ndio nyie mnaowaponza wenzenu!
Ww acha uongo,una apply km kawa wakitangaza,mi mdogo wangu yupo huko....baada ya kumaliza chuo aliomba na wakafanyiwa usaili(ila hapo uwe na m2 wa kukingia kifua,kimemo)then mnaingia mzigon hapa2 dar,then mnachujwa ss kwa ajili ya kwenda monduli,huko nako mafunzo yake c mchezo,ukipita hapo monduli baaaaas una nyota zako 2,ila ni kazi