.............Naomba mwenye taarifa kamili ni lini JWTZ watatangaza/hua wanatangaza nafasi za kujiunga na jeshi kwa proffesionals!!!!!!
msaada jamani,natamani sana GWANDA!!!
Kwanini lakin kunafanywa vitu vya siri sana wakati watu walio tuma application wanajua bado kiukweli nchi ishauzwa
.............Naomba mwenye taarifa kamili ni lini JWTZ watatangaza/hua wanatangaza nafasi za kujiunga na jeshi kwa proffesionals!!!!!!
msaada jamani,natamani sana GWANDA!!!
Vijana nafasi zitatoka tu. Msidanganywe na hao wanaosema watu wanatuma barua kimyakimya makao kipindi hiki. Ni uzushi mtupu Barua hizo hao wanajifurahisha tu, tangazo likitoka tutaitwa tu huko Kunduchi kufanyiwa vipimo na kukimbizwa.