Kwa wale ambao hawajaona tangazo
Hivi kwa sie ambao hatujapata Vyeti Original vya CHUO (bado havijatoka) tunafanyaje wakuu
Hivi kwa sie ambao hatujapata Vyeti Original vya CHUO (bado havijatoka) tunafanyaje wakuu
Jaman anaye jua ku apply online tujuzane mana kila nikijaribu wananiambia niweke password na email na nikiweka inagoma ni ki creat stil inazingua
Unatudai..?