Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
mbaya zaidi interview Dar, kituo cha ajira Songea au Kigoma, muombaji yuko kijiji cha Mpitimbi Namtumbo Songea!!!!""
mkuu huo ni mradi wa serikali siku hizi watu wameaacha kuandika barua,sasa kwa kuwa wafanyakazi wa posta kitengo cha barua bado wanaendelea kulipwa mshahara watu wa marketing katika shirika la posta wamekuja na hiyo marketing strategies kwa msaada wa sekretariati utumishi wa umma.Hivyo kaa chonjo mkuu,Fikiri naishi kigamboni lakini siruhusiwi kupeleka barua pale utumishi lazima ipitie posta kisha kwa bajaji mfanyakazi wa posta anazipeleka pale utumishi....Tanganyika kiongozi zaidi ya uijuavyo.