Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Jamani nimesikia kuwa bandari wametangaza nafasi za kazi kwenye the guardian la juzi alhamis tar 20. Nimeshindwa kupata hilo gazet coz niko kijijini. Nategemea information nying kutoka hapa jf. Naomba mwenye taarifa anisaidie kunijuza. Muhimu jamani na mimi nataka nijaribu bahati yangu. Natanguliza shukrani zangu za dhati.