Gamariel
Member
- Sep 8, 2009
- 82
- 6
wadau changamkieni kazi za kushika chaki SUA angalia link hii
http://www.suanet.ac.tz/docs/job_adv.pdf
http://www.suanet.ac.tz/docs/job_adv.pdf
ya kweli hayo mkuu? mbona basi mambo ni magumu, si wengine tutaendelea kugonga mawe tu mtaani!hawa jamaa wanatangaza kazi wakiwa tayari wana watu ambao wamewaandaa, msijisumbue haswa mlio mbali unless wawe wamewaita individualy, wako kiaina sana
hawa jamaa wanatangaza kazi wakiwa tayari wana watu ambao wamewaandaa, msijisumbue haswa mlio mbali unless wawe wamewaita individualy, wako kiaina sana
This is not true! Absolutely illusions..Sehemu nyingi Bongo ndio hivyo...................kujuana tu, no professionalism......mimi nilkuwa Bongo kwa muda lakini nikarialise ndivyo ilivyo.
Halafu na haswa sisi tuliokaa muda mrefu Ughaibuni na kusoma na kufanya professional jobs (sio kubeba box), ndio kabisaa wanatuona kama threat kwao due to exposure tulionayo
Hawana tofauti na jamaa wa BOT!
Sehemu nyingi Bongo ndio hivyo...................kujuana tu, no professionalism......mimi nilkuwa Bongo kwa muda lakini nikarialise ndivyo ilivyo.
Halafu na haswa sisi tuliokaa muda mrefu Ughaibuni na kusoma na kufanya professional jobs (sio kubeba box), ndio kabisaa wanatuona kama threat kwao due to exposure tulionayo
Ndio kitu gani hicho?si kweli kaka labda hujatambua thamani yako, ukienda kwenye mabenki watu wa mbele wanapapatikiwa kinoma hata kama unadiploma, mimi niliacha bank bcoz of that...niliona dharau yani mtu umepiga shule kinoma na mambo unayapeleka kinoma alafu kanakuja kadem eti kamesoma diploma ya IT security kanakua ka-incharge af kanakula mawe ya maana...
damt nikasepa nikaenda kwa watu wanaovalue professionalism.
si kweli kaka labda hujatambua thamani yako, ukienda kwenye mabenki watu wa mbele wanapapatikiwa kinoma hata kama unadiploma, mimi niliacha bank bcoz of that...niliona dharau yani mtu umepiga shule kinoma na mambo unayapeleka kinoma alafu kanakuja kadem eti kamesoma diploma ya IT security kanakua ka-incharge af kanakula mawe ya maana...
damt nikasepa nikaenda kwa watu wanaovalue professionalism.
Wewe nani alikwambia GPA ndo kigezo cha kupata kazi?kuna jamaa yangu ana BSC 3.8 GPA na MSC 3.9 GPA, amesha apply hapo SUA mara 4 na ameambulia patupu...sasa hivi amelamba kazi serikalini katulia. SUA hakufai kabisa....
nini kingine kinatakiwa? inaonekana wewe unafanya kazi SUA...Wewe nani alikwambia GPA ndo kigezo cha kupata kazi?
GPA tu haitoshi jamani watanzania...
Ebu taja ni Bank gani hiyo mkuu!!
Ndio kitu gani hicho?
Sehemu nyingi Bongo ndio hivyo...................kujuana tu, no professionalism......mimi nilkuwa Bongo kwa muda lakini nikarialise ndivyo ilivyo.
Halafu na haswa sisi tuliokaa muda mrefu Ughaibuni na kusoma na kufanya professional jobs (sio kubeba box), ndio kabisaa wanatuona kama threat kwao due to exposure tulionayo
huyo mdogo wako ni he au she?Mdogo wangu bila kuwa na MTU YEYOTE wa kumsimamia, kapata kazi SUA.
Na tena cha AJABU ni kuwa wao ndiyo walimlilia. Anyway, labda ana bahati zake.
Jaribuni na nyie mwaweza kuwa kama yeye. Mgaa gaa na upwa...