Nafasi za kazi national audit office(nao)

mwanangu hiyo link ya utumishi ina virus kama unaweza copy na uzipest hapa au download hilo tangazo then uliweke hapa!
 
Auditor grade ii 100 positions -up country regional audit offices
qualifications:a holder of bachelor degree of accouting and finance or advanced diploma in accountancy from any recognize d institution .use of computer and application of various soft wares such as excel,word,and power point.
 
GENERAL CONDITIONS:
1 .ALL APPLICANTS HAVE TO BE CITIZENS OF TANZANIA
2.ATTACH CV
3.THE TITLE OF THE POSITION APPLIED SHOULD BE MARKED ON THE ENVELOP
4.ATTACH ALL CERTIFICATES (ACADEMIC),ONE RECENT PASSPORT SIZE AND BIRTCERTIFICATES
5.INDICATE 3 REFEREES
6.TESTIMONIALS PARTIAL TRANSCRIPTS AND RESULTS SLIPS ARE NOT BE ACCEPTED
7.DEAD LINE 24.MAY 2011
8.APPLICATION LETTER SHOULD BE WRITTEN IN ENGLISH AND SENT TO THE FOLLOWING ADDRESS
SECRETARY,
PUBLIC SERVICES RECRUITMENT SECRETARIAT,
P.O.BOX 63100,
DSM
VILE VILE UNAWEZA PATA TANGAZO www.pmoralg.go.tz
 
mzee nipo mbali sijui labda kama wameweka kwenye link yao hawa dailynews ngoja nijaribu kucheki!

ok ila hizo ndio detail muhimu,hizo link hata mimi nimejaribu kufungua zina goma lakini nina magazeti ya daily news na mwananchi
 
kuna jamaa katoa ya TAMISEMI inafunguka lakini sijaziona hizo chance yaani tangazo nimetafuta sana sijaliona!
ok ila hizo ndio detail muhimu,hizo link hata mimi nimejaribu kufungua zina goma lakini nina magazeti ya daily news na mwananchi
 
mtiti wa hapa c mchezo nafasi mia bt applications buku mbili mchakato wake mungu saidia..bt msikate tamaa tujaribu bahati yetu wahasibu.
 
Tangazo lenyewe hili hapo, kwa nafasi za AUDITOR angalia page no 14 na kuendelea
 

Attachments

  • TANGAZO LA KAZI May 2011.pdf
    126.7 KB · Views: 357
mzee nipo mbali sijui labda kama wameweka kwenye link yao hawa dailynews ngoja nijaribu kucheki!

7. THE NATIONAL AUDIT OFFICE (NAO)
7.1 NATURE​
AND SCOPE

National Audit Office of the United Republic of Tanzania is established under
Article 143 of the Constitution of 1977 (Revised 2005).
By virtue of the provisions of Article 143 of the Constitution and Section 45 of
the Local Government Finances Act No. 9 of 1982 (revised 2000) together with
Section 9 of the Public Audit Act No. 11 of 2008, the Controller and Auditor
General carries out financial audits for the purpose of establishing the financial
performance of any expenditure or use of resources in the Public Institutions
including local Government Authorities which involves enquiring, examining,
investigating and reporting in so far as considered necessary.​
15​
The Regional and Local Authorities Division of NAO Audits Government
Revenue collection and Expenditures as appropriated by parliament to Local
Government Authorities to enhance transparency and accountability in the
management of Public resources.​
7.2 AUDITOR GRADE II (100 POSITIONS – UPCOUNTRY REGIONAL
AUDIT OFFICES)
7.2.1 MAIN DUTIES AND RESPONSIBILITIES​
Audit Government Revenue and expenditure; participate in preparation and
implementation of work plan and audit programs, to assist in preparing the
implementation programme of Annual Audit Plan, to assist in preparing and
implementing audit programme and plans and Keeping different records of
Account in the Office.​
7.2.2 QUALIFICATIONS​
A holder of Bachelor Degree of Accounting and Finance or Advanced Diploma
in Accountancy from any recognized institution. Use of computer and
application of various soft wares such as Word, Excel, and PowerPoint will be
an essential requirement.​

 
GENERAL CONDITIONS:
1 .ALL APPLICANTS HAVE TO BE CITIZENS OF TANZANIA
2.ATTACH CV
3.THE TITLE OF THE POSITION APPLIED SHOULD BE MARKED ON THE ENVELOP
4.ATTACH ALL CERTIFICATES (ACADEMIC),ONE RECENT PASSPORT SIZE AND BIRTCERTIFICATES
5.INDICATE 3 REFEREES
6.TESTIMONIALS PARTIAL TRANSCRIPTS AND RESULTS SLIPS ARE NOT BE ACCEPTED
7.DEAD LINE 24.MAY 2011
8.APPLICATION LETTER SHOULD BE WRITTEN IN ENGLISH AND SENT TO THE FOLLOWING ADDRESS
SECRETARY,
PUBLIC SERVICES RECRUITMENT SECRETARIAT,
P.O.BOX 63100,
DSM
VILE VILE UNAWEZA PATA TANGAZO www.pmoralg.go.tz

hakuna tangazo hapo bado hawajaweka
 
kuna jamaa katoa ya TAMISEMI inafunguka lakini sijaziona hizo chance yaani tangazo nimetafuta sana sijaliona!

uko hawajaweka mkuu, ebu angalia utumishi ndo lilipo. hata ivo mleta thread kashaweka juu kila kitu muhimu.
 
jamani mimi nina cheti na provision. transcript sina je nayo inamata,pliz advise kama vp nipige mkoa nikaichukue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom