Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,179
- 3,539
Habari ndugu....je naeza pata maelezo zaidi juu ya hao form four qualifications job?ni job zipi na which location of dar es salaam.
thanx
mimi ninavyofahaam mkuu elimu ya form kwa dar unaweza kupata kazi zifuatazo
1.bank teller
2.bank customer care
3.messenger
4.customer care kwenye mitandao
5.store keeper kwenye procument companies
sasa inategemea ww unataka ipi