....wadosi walivyokama hizo balozi goodluck !!! Yaani wanaweza leta mtu kutoka pumjab kuja kuchukua nafasi kuliko wampe mmatumbi... ! Hawa akina Manji na Mo ipo siku tutawatoa nduki warudi kwao ww ngoja tu akina dhaifu waendeleze umasikini !!
Chezea watu wengine sio hao wenye passport mia mia ! Hao wanajipenyeza ili mradi waingie ndani humo then mengine madili yanajipa. Nenda kaangalie watoa photo copy au mamesenja. labda kama umeomba nafasi za udereva, tena wa malori ya kusombea maji