baada ya kusoma comment zenu nimejikuta nacheka sana...kila mtu anasanif kwa namna yake,eti kisa nimeandik a kwenye mstimu wa umeme...kwel wabongo tuna laana tena laana kubwa...tuendelee kukaa nyumbani kama nitafanikiwa kuona zilizotangazwa CNN ntawajulisha ndugu wadau
tuendelee kukaa nyumbani kama nitafanikiwa kuona zilizotangazwa CNN ntawajulisha ndugu wadau
Sasa wana JF kuna kitu sikielewi ina maana mda ukipita wa hayo matangazo ndo basi uruhusiwi kuomba hiyo kazi.... wenu katika ujenzi wa taifa la JF!:smow:
Bandari gani?TPA?TICTS au?na ni kazi gani mkuu?Nyingi ya hizo za kwenye mstimu na magazeti ya udaku ni magumashi tu,wasanii.
Ha ha haaaa ngoja nipige hiyo number kesho asubuhi nisikilizie... zikitoka hapo airtel tujuze mdau...