Nafasi za jwtz

jama alie sema this jana .inaweza kuwa kweli mi jama yangu mmoja ame maliza digri juzi na hakuwa mfanyakaz ni fresh frm school namfahamu kwa undani .wiki ilyopita jumane alipeleka cv kesho yake wame mcal ajiandae.na jmosi aliondoka ame enda monduli. Kuna mjeda mmoja nimemuliza akaniambia mwezi wapili ndio wata toa rasmi. Tangazo .leo nilienda pale ngome upanga kutaka kujua zaidi na kuacha Cv. Nikamkuta mjeda ana hasira getini. Akaniambia jeshi lina utaratibu wake sio unaleta makaratasi yako kama unapeleka kwny shirika la mkonge. Ika bidi nisepe nsije pigwa bure
nani kakudanganya fresh frm school ukiingia leo kesho unaenda monduli? hizo story za vijiweni
 
hiyo tunakimbilia jw coz kitaa no ajira au tunamapenzi ya dhati na usalama wa nchi, usije ukapangwa kwenda SUDAN ukakimbia.....mana wengine mnacomment kua wajeda siku hizi wanamea vitambi as if kule nowadays hakuna ugumu wa kazi........vipi mmejaribu na kujiajiri imeshindikana maana tutataka pia proffesionals kwenye biashara kule ndo pesa ipo na maamuzi ya muda ni yako no working under pressure. fikra zangu
 
tutatafuta tu hao wakutupromoti maana siku hizi ajira kama muziki wa kizazi kipya lazima uwe na promota tena zaidi ya mmoja
.:yawn:
TANZANIA BILA AJIRA INAWEZEKANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kujiajiri unadhani ni kazi rahisi kihivyo hiyo mitaji utaipata wapi? wafanyabiashara wenyewe wanafanya na familia zao sasa mie mtoto wa mlalahoi nitaenda wapi bora hata ningekuwa mtroto wa mkulima ningejiunga na kilimo kwanza sasa hata shamba sina, du hii ni noma.
 
hiyo tunakimbilia jw coz kitaa no ajira au tunamapenzi ya dhati na usalama wa nchi, usije ukapangwa kwenda SUDAN ukakimbia.....mana wengine mnacomment kua wajeda siku hizi wanamea vitambi as if kule nowadays hakuna ugumu wa kazi........vipi mmejaribu na kujiajiri imeshindikana maana tutataka pia proffesionals kwenye biashara kule ndo pesa ipo na maamuzi ya muda ni yako no working under pressure. fikra zangu
taarifa tu.....nafasi za kwenda SUDAN kwa jwtz ni za kugombania tena memo zipo za kufa mtu....
habari ya vitambi mbona iko wazi kama utakwenda na form four yako lazima utumike..... habari ndio hiyo..
 
Hv hzo nafac zktoka huo usaili utafanykaje, maana hao graduates tunaosubr!? Sipati picha
 
kwa kifupi ni kuwa jwtz hawataajiri kwa mwaka huu wa fedha mpaka mwaka ujao wa fedha, hamjackia kuwa serikali ina ukata wa fedha? so jeshi kuanzia july mwaka huu ndo muanze kutolea macho. Cha msingi muandae 2 vyeti vyenu fresh cz jamaa mchujo wao hawana masihala, ukiwa huna living certificate tu unapigwa chini, wa2 huwa ni wengi sanaa so wana mbinu zao za kuwapunguza, ikiwemo kuwaboa au kuwachelewesha pasipo na sababu za msingi, mfano mnaweza mkaambiwa mripoti pale lugalo saa 2 asubuhi thn wasiwaambie chochote mpaka saa 10 jioni, so m2 mvumilivu ndo huwa anapita usaili na kwenda depo ambako kuna shughuli ya kufa m2, thn uende Tanzania Military Academy(TMA) Monduli ukatafute nyota, huko nako balaa lake ucpime ni mwendo wa mazoezi makali + pepa kila wiki, ukifeli unarudi kikosini kuwa askari wa kawaida. So 2jiandae kwa yote hayo ambao 2nataka kuwa maafisa wa jeshi.
 
WOte mpo sahihi. but mie nilibahatika kwenda kwa hr mkuu wa jeshi anaitwa kanali mirambo.maana nielekezwa na mstaafu katika ofisi ya uajiri. but nilienda mara 3 na kupewa sound kuwa hayupo. but siku ya tatu nkafanikiwa kuonana naye live. akaniambia kama ifuatavyo.
1. jeshi la wananchi linaajiri wasomi ambao wamepitia mafunzo ya JKT kwa hyo kama unataka kuwa mwanajeshi (officer) lazima uende kwenye mafunzo ya JKT kwanza ndo baadaye wanakuja kufanya mchujo wakati mko kwenye mafunzo.
2. wakati unaingia kwenye mafunzo ya JKT unatakiwa utaje vitu vyako kwa usahihi. yan usidanganye eti unamasters wakat una degree mana wakati wa mafunzo ya officers mnakaguliwa upya kama mwanzoni.
3. nafasi za mafunzo ya JKT yanakuwa kila baada ya miez 6. kwa hyo kunakuwa na intake 2 mwez wa 4 na mwezi wa kumi au 12. so akaniambia niende makao makuu ya JKT nkaulizie utaratibu wa kujua lini watatangaza nafasi za kujiunga na JKT.
 
nani kakudanganya fresh frm school ukiingia leo kesho unaenda monduli? hizo story za vijiweni
haya koplo we si ndio mwajiri wa jeshi.note one thing sibatishi navyo post kitu wala si post maneno ya kusikia
 
Nami nimo kwenye msafara wadau. Ila msije interview na tai, njoo na vyeti na vitie kwenye mfuko wa nilon make bahsha ukikimbia ukaswet vitarowa
 
Hi yote 7bu hatuna ajira 2po kitaa sana hadi raia wanaona afadhari kwenda jeshi2, haya kila la kheri wakuu mnaotaka kwenda huko!
 
Back
Top Bottom