Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,339
- 17,866
Wakuu hii imekaaje? Pamoja na hali mbaya ya uchumi inayowakabili watanzania lakini bado kimataifa tuko vizuri kwa vigezo vya IMF. Katika nchi 25 za mwisho inaonekana Tanzania tuko juu ya nchi kama DRC na Uganda ingawaje tunapitwa na jirani zetu wa Kenya pamoja na nchi ya Raisi king'ang'anizi Mugabe. Takwimu hizi ni za 2010 kutoka kwenye chanzo kifuatacho List of countries by GDP (nominal) per capita - Wikipedia, the free encyclopedia
RankCountryUS$152 Kenya809153 Comoros802154 Chad768155 Tajikistan741156 Burma702157 Mali692158 Benin689159 Haiti673160 Bangladesh638161 Gambia, The617162 Burkina Faso598163 Zimbabwe594164 Timor-Leste588165 Rwanda562166 Nepal562167 Tanzania548168 Afghanistan517169 Guinea-Bissau509170 Uganda501171 Togo459172 Mozambique458173 Guinea448174 Central African Republic436175 Eritrea398176 Madagascar392177 Niger381178 Ethiopia350179 Sierra Leone326180 Malawi322181 Liberia226182 Congo, Democratic Republic of the186183 Burundi180
RankCountryUS$152 Kenya809153 Comoros802154 Chad768155 Tajikistan741156 Burma702157 Mali692158 Benin689159 Haiti673160 Bangladesh638161 Gambia, The617162 Burkina Faso598163 Zimbabwe594164 Timor-Leste588165 Rwanda562166 Nepal562167 Tanzania548168 Afghanistan517169 Guinea-Bissau509170 Uganda501171 Togo459172 Mozambique458173 Guinea448174 Central African Republic436175 Eritrea398176 Madagascar392177 Niger381178 Ethiopia350179 Sierra Leone326180 Malawi322181 Liberia226182 Congo, Democratic Republic of the186183 Burundi180