Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Rangi ya mwili nadhani ina nafasi flani mapenzini na ndio maana watu wanajibadilisha. Kwa mtazamo wako ww mwana jf, hili unalichukuliaje
dah, hii kitu kina ukweli ndani yake:d
mimi kama mimi nafagilia rangi ya chungwa kama za dada zetu warangi, hii rangi sina mashaka nayo, maana inamvuto sana, hasa ukiikuta maeneo nyeti, weee aibuuuuuuuuuuuuu! hapa naongelea white/chungwa nachuro, sio mkorogo.
Sasa huu upendeleo ndio unaofanya hasa kina dada kujikoboa. Ila wajue ngozi ni matunzo
Si wote wanapenda ngozi nyeupe kuna watu wanapenda ngozi nyeusi kabisa, sasa hao weupe wafanyeje?
waote sana jua la bongo watafikia kiwango
mmh nyeupe/brown ndo ishu si waona kila mmoja anataka kujikoboa ili aonekane mzungu?
Mi nawapenda walio weusi tiiii!
Kama ni kwa kufuata mtiririko, rangi kwangu inakuja baada ya kuridhika na umbo kwa ujumla(Mwenyewe naiita 'Morphology'!).Kama morphology hailipi hata awe mweupe kama mzungu, huwa sijisikii kuvutika. Kama umbo limetulia, rangi kwangu si kigezo kabisa! Ceteris paribus, rangi ya maji ya kunde huwa inapendeza machoni mwangu zaidi kuliko rangi nyingine!
Mkuu umegusa patamu, enhe morphology gani inapanda kati ya hizi mbili kuu? I mean kimobitel au tipwa tipwa? LOL
Ni kwa sababu tunajaribu kufit kwenye scales zenu si unaona hapa kila mmoja anadai anapenda rangi za kirangi asa mie ambaye ni mweusi si nitabaki bila hata dada hujamboa? teh teh ngoja niwahi diprovera sijui diproson !
nasikia wananoga....wana joto zuri....si mwajua black colour ina aakisi jua....but foe me white colour is shinable aisee totozi jeupeeeee wengi wanakuwa na roho nzuri..Mi nawapenda walio weusi tiiii!
Kama ni kwa kufuata mtiririko, rangi kwangu inakuja baada ya kuridhika na umbo kwa ujumla(Mwenyewe naiita 'Morphology'!).Kama morphology hailipi hata awe mweupe kama mzungu, huwa sijisikii kuvutika. Kama umbo limetulia, rangi kwangu si kigezo kabisa! Ceteris paribus, rangi ya maji ya kunde huwa inapendeza machoni mwangu zaidi kuliko rangi nyingine!
kaka umegonga kwa Rais. Mwanamke awe na mvuto kwanza then rangi next, au sio?