The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
Tatizo pia kuna wanawake wakishaolewa wanaanza kuonesha makucha yao. Hapo mwanaume aangalie ni upande upi wenye makosa na sio kumtetea mkewe hata kama anafanya upuuzi.
upuuzi wa mke ni kama upi?