rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Naomba/natafuta msaidizi wa kike ikiwezekana awe na uzoefu wa kuangalia kina mama wazee: Umri kati ya miaka 23-40:Kama hana uzoefu anaweza kujifunza.
Ni kazi ya kumhudumia bibi ambaye anahitaji msaada kwa aslimia 75.
Majukumu makuu ni.
1)Kumtayarishia chakua
2)Kumuogesha
3)Kumpa dawa kwa wakati
4)Kumfulia nguo zake
Kazi iko jijini DSM.
Mshara :Ni Tshs 131,000.
Makato:
Ni chumba kwa mwezi 10,000
Umeme na maji 1,000
Chakula cha mchana na jioni na chai kwa siku 1,500
Matibabu bure yasiyozidi 50,000 kwa mwezi. Matumizi ya kawaida kama sabuni na kadhalika –bure.
Off duty siku 2 kwa mwezi
Msharahara wake unaobaki ni 75,000Tshs/mwezi.
Mwenye kujua naweza kumpata wapi anisaidie kwa kunitumia ujumbe kwa rakeyescarl@yahoo.ie au ani PM.
Ni kazi ya kumhudumia bibi ambaye anahitaji msaada kwa aslimia 75.
Majukumu makuu ni.
1)Kumtayarishia chakua
2)Kumuogesha
3)Kumpa dawa kwa wakati
4)Kumfulia nguo zake
Kazi iko jijini DSM.
Mshara :Ni Tshs 131,000.
Makato:
Ni chumba kwa mwezi 10,000
Umeme na maji 1,000
Chakula cha mchana na jioni na chai kwa siku 1,500
Matibabu bure yasiyozidi 50,000 kwa mwezi. Matumizi ya kawaida kama sabuni na kadhalika –bure.
Off duty siku 2 kwa mwezi
Msharahara wake unaobaki ni 75,000Tshs/mwezi.
Mwenye kujua naweza kumpata wapi anisaidie kwa kunitumia ujumbe kwa rakeyescarl@yahoo.ie au ani PM.