Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
umasikini sio kukosa ela pia upo wa fikra.ni hayo tu asanteni.
Mm ni houseboy najua kupika kila kitu Kama upo tayar tufanye biashara!
Mnafikiria wote wanategemea hela za mkopo tu? Kuna wenye wazee wao wana uwezo, kuna wenye kazi zao na wameamuwa kujiendeleza kusoma, kuna wenye "biashara" zao. Unanshangaza!
nahitaji mshichana wa kaz anisaidie kaz ndogondogo hapa geto nikitoka collage nikute shwarii.
Watoto mliozaliwa wakati huu Baba Riziwani yupo madalakani..,mna shida nyinyi..!nahitaji mshichana wa kaz anisaidie kaz ndogondogo hapa geto nikitoka collage nikute shwarii.
Mnafikiria wote wanategemea hela za mkopo tu? Kuna wenye wazee wao wana uwezo, kuna wenye kazi zao na wameamuwa kujiendeleza kusoma, kuna wenye "biashara" zao. Unanshangaza!
we unamatatizo au ndo mala ya kwanza kupata boon nini!!!