Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Mtey ana network na wanaSiasa wengi kama sio wote influencial, ametumia vizuri uwepo wake Dodoma kuwa karibu na system, na ni mjanja sana mChagga yule! Bogus kwa upande upi, management au technical? huo ni mtazamo wako binafsi, by the way...do you need to be smart kuwa CMO? kuwa executive kwenye serikali hii ya JK? Hell no..smartness has never been a criteria.
Mhina sikumtaja kama possible candidate, Mwita nasupport ni very strong candidate, ila hana political networking!
Dr Mtey kwa ujanja janja wake wa kichaga na kujiweka karibu na System ,
pia Mtey alitokea Pwani kabla ya kwenda Dodoma (JK= B'Moyo/Mtey=KBH) utaona kuwa kuna uwezekano mkubwa anaweza akapewa kwani yeye na mkulu walicheza pamoja wakiwa wangali vijana na damu zikichemka,
Mtu pekee pale wizarani ambaye ni Senior kuzidi wengi, anayeijua vizuri Wizara ya Afya pamoja na sera zake, mtu ambaye ni disciplined and committed, hana harufu ya rushwa, hajui kupendelea hata kwa nduguze ni mmoja tu .... naye ni Dr Mliga, Director of Human resources and Training, Lakini kwa vile wao wateuzi huangalia vigezo vyao sidhani kama watampendekeza au hata kumfikiria tu