Nafasi ya ajira ualimu Tanganyika

Asha hassan

New Member
Jul 20, 2015
1
1
Mimi ni Mzanzibar naomba mnisaidie vipi naweza kupeleka barua za maombi ya ualimu kwani mimi ni mgeni sijui pa kuanzia na huku kwetu kazi ni tabu sana nishahangaika hadi nimechoka.

Naomba muongozo wenu!
 
Mimi ni Mzanzibar naomba mnisaidie vipi naweza kupeleka barua za maombi ya ualimu kwani mimi ni mgeni sijui pa kuanzia na huku kwetu kazi ni tabu sana nishahangaika hadi nimechoka.

Naomba muongozo wenu!

ni pm namba zako nitakuunganisha na mtu ambae amefanya kama unavyotaka wewe
 
Back
Top Bottom