Asha hassan
New Member
- Jul 20, 2015
- 1
- 1
Mimi ni Mzanzibar naomba mnisaidie vipi naweza kupeleka barua za maombi ya ualimu kwani mimi ni mgeni sijui pa kuanzia na huku kwetu kazi ni tabu sana nishahangaika hadi nimechoka.
Naomba muongozo wenu!
Naomba muongozo wenu!