Nafasi mpya za kazi (national insurance corporation) chc

KASRI

Member
May 2, 2009
93
22
Wana JF,

Shirika la Bima la Taifa - Tanzania (NIC) katika kurekebisha utendaji wake na mambo mengine ambayo siyafahamu vizuri, lilitangaza nafasi za kazi nyiiiiiiiingi mwezi July 2009.

Swali nalojiuliza ni je; NIC/Consolidated Holding Corporation (CHC) watazisoma/pitia barua zote zilizotumwa hapo au ndo utakuwa mtindo wa kujuana?

Ombi langu kwa yeyote anayehusika hapo NIC/CHC; tujaribu kuwa wavumilivu kidogo tuzifungue barua zoooooote na kuzisoma, hakika tutakutana na vitu muhimu sana. Mimi mwenyewe nimeomba kazi (Accountant) lakini msururu wa waombaji wengine niliokutana nao umenidhihirishia kuwa wapo/tupo wengi tunaofaaa ila nafasi tu ndo finyu.

NIC/CHC NASUBIRI MNIPIGIE SIMU MAANA NAOMBA NIWEKE WAZI HAPA KUWA KUNA BARUA 10 NIMEZIPELEKA PALE CHC AMBAZO KIMSINGI SIO ZA KUOMBA KAZI ILA NIMEPELEKA ILI KUJUA JE BARUA ZITASOMWA AU NDO USANIII TU?

NILICHO KIFUNGA NDANI YA BAHASHA NI VITU TOFAUTI AMBAVYO KWA MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU (NINAAMINI PALE NIC/CHC WOTE WANA AKILI TIMAMU) LAZIMA ANIPIGIE SIMU AU ANITAFUTE.

NILIAMUA KUINGIA GHARAMA HIYO BASI TU ILI KUJIRIDHISHA KUWA BARUA WANAZISOMA.

NIC/CHC TAFADHALI FUNGUENI NA KUZISOMA BARUA ZOTE NDIPO MCHAGUE WACHACHE NAJUA WENGI TUNAFAA LAKINI SOMENI. KUJUANA KUTAISUMBUA NIC/CHC (MTAZAMO WANGU).

ASANTE
 
mbonaunawasiwas hivyo kwani wanamtandao kwenye shirika hilo ni kina nani
kama uko professional streghth naamini utaitwa tu mazee punguza mapresure.
 
Wana JF,

Shirika la Bima la Taifa - Tanzania (NIC) katika kurekebisha utendaji wake na mambo mengine ambayo siyafahamu vizuri, lilitangaza nafasi za kazi nyiiiiiiiingi mwezi July 2009.

Swali nalojiuliza ni je; NIC/Consolidated Holding Corporation (CHC) watazisoma/pitia barua zote zilizotumwa hapo au ndo utakuwa mtindo wa kujuana?

Ombi langu kwa yeyote anayehusika hapo NIC/CHC; tujaribu kuwa wavumilivu kidogo tuzifungue barua zoooooote na kuzisoma, hakika tutakutana na vitu muhimu sana. Mimi mwenyewe nimeomba kazi (Accountant) lakini msururu wa waombaji wengine niliokutana nao umenidhihirishia kuwa wapo/tupo wengi tunaofaaa ila nafasi tu ndo finyu.

NIC/CHC NASUBIRI MNIPIGIE SIMU MAANA NAOMBA NIWEKE WAZI HAPA KUWA KUNA BARUA 10 NIMEZIPELEKA PALE CHC AMBAZO KIMSINGI SIO ZA KUOMBA KAZI ILA NIMEPELEKA ILI KUJUA JE BARUA ZITASOMWA AU NDO USANIII TU?

NILICHO KIFUNGA NDANI YA BAHASHA NI VITU TOFAUTI AMBAVYO KWA MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU (NINAAMINI PALE NIC/CHC WOTE WANA AKILI TIMAMU) LAZIMA ANIPIGIE SIMU AU ANITAFUTE.

NILIAMUA KUINGIA GHARAMA HIYO BASI TU ILI KUJIRIDHISHA KUWA BARUA WANAZISOMA.

NIC/CHC TAFADHALI FUNGUENI NA KUZISOMA BARUA ZOTE NDIPO MCHAGUE WACHACHE NAJUA WENGI TUNAFAA LAKINI SOMENI. KUJUANA KUTAISUMBUA NIC/CHC (MTAZAMO WANGU).

ASANTE

Are you professional Accountant?
 
Wana JF,

Shirika la Bima la Taifa - Tanzania (NIC) katika kurekebisha utendaji wake na mambo mengine ambayo siyafahamu vizuri, lilitangaza nafasi za kazi nyiiiiiiiingi mwezi July 2009.

Swali nalojiuliza ni je; NIC/Consolidated Holding Corporation (CHC) watazisoma/pitia barua zote zilizotumwa hapo au ndo utakuwa mtindo wa kujuana?

Ombi langu kwa yeyote anayehusika hapo NIC/CHC; tujaribu kuwa wavumilivu kidogo tuzifungue barua zoooooote na kuzisoma, hakika tutakutana na vitu muhimu sana. Mimi mwenyewe nimeomba kazi (Accountant) lakini msururu wa waombaji wengine niliokutana nao umenidhihirishia kuwa wapo/tupo wengi tunaofaaa ila nafasi tu ndo finyu.

NIC/CHC NASUBIRI MNIPIGIE SIMU MAANA NAOMBA NIWEKE WAZI HAPA KUWA KUNA BARUA 10 NIMEZIPELEKA PALE CHC AMBAZO KIMSINGI SIO ZA KUOMBA KAZI ILA NIMEPELEKA ILI KUJUA JE BARUA ZITASOMWA AU NDO USANIII TU?

NILICHO KIFUNGA NDANI YA BAHASHA NI VITU TOFAUTI AMBAVYO KWA MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU (NINAAMINI PALE NIC/CHC WOTE WANA AKILI TIMAMU) LAZIMA ANIPIGIE SIMU AU ANITAFUTE.

NILIAMUA KUINGIA GHARAMA HIYO BASI TU ILI KUJIRIDHISHA KUWA BARUA WANAZISOMA.

NIC/CHC TAFADHALI FUNGUENI NA KUZISOMA BARUA ZOTE NDIPO MCHAGUE WACHACHE NAJUA WENGI TUNAFAA LAKINI SOMENI. KUJUANA KUTAISUMBUA NIC/CHC (MTAZAMO WANGU).

ASANTE
kwanini wasizipitie zote una uhakika gani acha wasiwasi mkuu.

umejuaje waombaji wengine wanafaa JE umefungua maombi yao na kuyasoma?

yaani wewe unapoteza rasilimali na muda wa watu kuomba nafasi ili tu kujua kama zitasomwa?

kama una wasiwasi watu hawana akili timamu kwa nini umepeleka maombi yako?

acha jazba mkuu ingia katika soko ushindane
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom