rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Wadau,
Tunazo nafasi 2 kwa wa Tz wa kuzaliwa.
Hamna vyeti vinavyotakiwa ili mradi uwe na nguvu za kutosha na afya ya kutosha.
1.Kazi ya kwanza ni kuuza Mpesa,kusafirisha mizigo na kupokea mizigo.
Mshahara 90Elfu,nyumba bure,kitanda bure-hii iko Njombe.
2.Kutumwa kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 12 na nusu jioni madukani.
Mshahara elfu 90,nyumba bure. Hii ni kazi nzuri kwa sababu utakuwa ukipata posho kutoka kwa jamaa unaonunua kwao vitu kila siku si chini 5elfu.
Tuma ujumbe kwa rakeyescarl@yahoo.ie au hapa.
Kazi zote hizo lazima uwe na wadhamini 3 wa si chini ya milioni 50 au mwenye nyumba,mfanyakazi wa serikali kama polisi etc,kama unahitaji maelezo ya ziada uliza
Tunazo nafasi 2 kwa wa Tz wa kuzaliwa.
Hamna vyeti vinavyotakiwa ili mradi uwe na nguvu za kutosha na afya ya kutosha.
1.Kazi ya kwanza ni kuuza Mpesa,kusafirisha mizigo na kupokea mizigo.
Mshahara 90Elfu,nyumba bure,kitanda bure-hii iko Njombe.
2.Kutumwa kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 12 na nusu jioni madukani.
Mshahara elfu 90,nyumba bure. Hii ni kazi nzuri kwa sababu utakuwa ukipata posho kutoka kwa jamaa unaonunua kwao vitu kila siku si chini 5elfu.
Tuma ujumbe kwa rakeyescarl@yahoo.ie au hapa.
Kazi zote hizo lazima uwe na wadhamini 3 wa si chini ya milioni 50 au mwenye nyumba,mfanyakazi wa serikali kama polisi etc,kama unahitaji maelezo ya ziada uliza