moniccca
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,383
- 3,285
Hbr wanajf hasa wa jukwaa hili!
Niende kwenye mada husika, leo asubuhi nikiwa naendesha gari nikitokea mlima city kuelekea sinza madukani kupitia makaburini, nilipofika maeneo ya makaburini ghafla nikamuona aliyekuwa mume wangu...kilichoendelea hapo ntawajuza kesho maana najisikia kuchoka.
Niende kwenye mada husika, leo asubuhi nikiwa naendesha gari nikitokea mlima city kuelekea sinza madukani kupitia makaburini, nilipofika maeneo ya makaburini ghafla nikamuona aliyekuwa mume wangu...kilichoendelea hapo ntawajuza kesho maana najisikia kuchoka.