Naenda jimboni... Nitawamiss sana

Nia ya kugomembea ni kuleta mabadiliko ya kweli kupitia CCM? au kuungana nao kuendeleza maangamizi ya mali za nchi
 
Ndugu MG,

nAKUTAKIA KILA LA HERI.

Ujue kuwa JF kuna kundi la 'watchdogs', ambao tunaku'monitor kwa ukaribu sana, so dont just mess up there, mean business!

Otherwise, your decision is just fair, only if u have a call from the heart to help the poor Tanzanians in your constituency..Kama uta'behave abnormally, we shall always be here to witnesses of your traitorship!

Keep in touch- na mimi nauliza tena, je huna laputopu, au hata umeme huko uendako hakuna?...Basi inamaanisha you have more than big work to execute!..huh!
 
Katika kipindi cha wiki tatu nitafanya safari kadhaa katika nchi takriban nne hivi ikiwa ni katika kuweka sawa masuala yangu huku ughaibuni kwani februay nitarejea nyumbani ambapo pamoja na mambo mengine nitatangaza rasmi nia yangu ya kugombea ubunge jimboni kwangu.


Ntarajia kugombea ubunge kupitia jimbo la uchaguzi kwa tiketi ya ccm. kutokana na ukweli kwamba kura za maoni za ccm zitapigwa na wanchama wote, ni wazi kuwa kazi ya kuweka mambo sawa jimboni ni kubwa zaidi kuliko katika chaguzi zilizopita. Tayari timu yangu iko jimboni kwa wiki kadhaa sasa na ninalazimika kwenda huko mapema kuiongezea nguvu hasa ikizingatiwa kuwa baada ya march nitakuwa tena na safari nyingine za ng’ambo.

Kutokana na ratiba yangu kuwa ngumu katika kipindi hiki, ni wazi sitaweza kuwa na muda mwingi ndani ya JF halikadhalka nikiwa jimbon siaweza kupata connection ya uhakika ya internet na hivyo nitawamiss sana wapendwa.

Nawatakien kila la her na tuendelee kuombeana heri katika harakati mbalimbali tuanazofanya kwa manufaa yetu na nchi yetu

asanteni

Mhhh, unaaga kama jamaa mmoja hivi mashuhuri. Kila la heri this time.
 
Mkuu Mgombea ubunge, hongera sana kwa hiyo ndoto yako. Lakini jambo moja ambalo napata wasiwasi kwa wagombea ubunge wengi watarajiwa, wanapokuwa nje ya kilinge huwa ana dhamira nyoofu kabisa ya kutaka kuwaletea maendeleo watz. Nimegundua wengi wao walipofanikiwa kupata huo ubunge huzigeuka hata dhamira zao wenyewe, kiasi kwamba sijui wanapatwa na nini? Kuna mwana-jf mmoja signature yake inawakilisha hali hii ya hawa wagombea ubunge kama wewe iko hivi " kuwa ukipewa kazi ya kupakua asali na mikono yako ikajaa hiyo asali utafanyaje? utailamba au utafuta na vumbi?" sasa sina jinsi ya kukuapiza ili ukifanikiwa kuupata huo ubunge usinogewe na asali ukawabadirikia watz? Nina mifano hai ya watu waliokuwa na wazo kama lako na leo ni wabunge lakini walizikana dhamira zao ni marafiki wa karibu na wengine nilishiriki katika kujenga nao mikakati ya mbio zao za kutafuta ubunge...
 
Katika kipindi cha wiki tatu nitafanya safari kadhaa katika nchi takriban nne hivi ikiwa ni katika kuweka sawa masuala yangu huku ughaibuni kwani februay nitarejea nyumbani ambapo pamoja na mambo mengine nitatangaza rasmi nia yangu ya kugombea ubunge jimboni kwangu.


Ntarajia kugombea ubunge kupitia jimbo la uchaguzi kwa tiketi ya ccm. kutokana na ukweli kwamba kura za maoni za ccm zitapigwa na wanchama wote, ni wazi kuwa kazi ya kuweka mambo sawa jimboni ni kubwa zaidi kuliko katika chaguzi zilizopita. Tayari timu yangu iko jimboni kwa wiki kadhaa sasa na ninalazimika kwenda huko mapema kuiongezea nguvu hasa ikizingatiwa kuwa baada ya march nitakuwa tena na safari nyingine za ng’ambo.

Kutokana na ratiba yangu kuwa ngumu katika kipindi hiki, ni wazi sitaweza kuwa na muda mwingi ndani ya JF halikadhalka nikiwa jimbon siaweza kupata connection ya uhakika ya internet na hivyo nitawamiss sana wapendwa.

Nawatakien kila la her na tuendelee kuombeana heri katika harakati mbalimbali tuanazofanya kwa manufaa yetu na nchi yetu

asanteni

Mgombea Ubunge,

Kama ukishinda Ubunge naomba kila mwaka uwe unapanda angalau miti 1000 ya aina mbali mbali katika kila kijiji katika jimbo lako kwa kushirikiana kwa karibu na wapiga kura wako pamoja na familia zao bila kuwasahau Wanafunzi.
 
Will be back!

Here we go......huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa.........! Lols kura yangu hata kwa mtutu hapati huyu........!

Mgombea Ubunge
user_online.gif

Mgombea Ubunge has no status.
JF Senior Expert Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Fri Nov 2009
Posts: 384
Thanks: 20
Thanked 148 Times in 96 Posts
Rep Power: 21
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Mara ya Kwanza!
hakuna lessoni yoyote hapo,

huo ni mtiririko kama wa proposal ya kuombea fedha kwa wafadhiri, lakini hali halisi ni tofauti, wengine hushindwa hata kuingiza siku ya kwanza kwa hofu, ushahidi upo wa kutosha kuwa wengine hata joto la mwili hupanda, na hata kifaa kinaweza kulegea kazi ikashindikana, baadhi ya bikira hutoa harufu ambayo wengine huita mbaya wengine huita manukato ya bikira kwa sababu ya hofu, hivyo ni mchakato tata kidogo unaohusisha saikolojia ya mtu.

ukitumia kondom ndio kabisaaaa unakimbiza hisia! ukikaribisha mawazo yanayohusu ukimwi umeua kifaaa moja kwa moja, labda ujaribu tena siku nyingine............

mimi nimewahi kukamua mtu nne siku ya kwanza tu na kati ya hizo nne, moja ilikuwa bikira, nyingine tatu used, kuna kama nane hivi nimekamua siku ya pili tu ya kukutana nazo, kati ya hizo mbili bikira na sita used, ......etc,bikira iliyonisumbua kufungua maishani mwangu ilichukua wiki tatu, na moja ilihama kabla sijaifungua hivyo nikawa nimechemsha!!!!!!!!! bikira ya mwisho nimefungua miezi 14 iliyopita, lakini sasa nafikiria kustaafu kunyemelea bikira kwani sometimes ni risk


Sorry Mbunge.....unatia kinyaaa kwa kweli! one day unakamua nane? jamani....wewe hata King Mswati hakufikii....then unataka Ubunge?

Tena bado ile ya kumjengea nyumba kimada wako kule Kisukuru....waifu wako haijui hiyo.......! ukipewa madaraka, lazima lazima uyafuje wewe.......! please ID yako na useme wapi unataka kugombea tuzuia hii disaster!
 
Here we go......huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa.........! Lols kura yangu hata kwa mtutu hapati huyu........!

Mgombea Ubunge
user_online.gif

Mgombea Ubunge has no status.
JF Senior Expert Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Fri Nov 2009
Posts: 384
Thanks: 20
Thanked 148 Times in 96 Posts
Rep Power: 21
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Mara ya Kwanza!
hakuna lessoni yoyote hapo,

huo ni mtiririko kama wa proposal ya kuombea fedha kwa wafadhiri, lakini hali halisi ni tofauti, wengine hushindwa hata kuingiza siku ya kwanza kwa hofu, ushahidi upo wa kutosha kuwa wengine hata joto la mwili hupanda, na hata kifaa kinaweza kulegea kazi ikashindikana, baadhi ya bikira hutoa harufu ambayo wengine huita mbaya wengine huita manukato ya bikira kwa sababu ya hofu, hivyo ni mchakato tata kidogo unaohusisha saikolojia ya mtu.

ukitumia kondom ndio kabisaaaa unakimbiza hisia! ukikaribisha mawazo yanayohusu ukimwi umeua kifaaa moja kwa moja, labda ujaribu tena siku nyingine............

mimi nimewahi kukamua mtu nne siku ya kwanza tu na kati ya hizo nne, moja ilikuwa bikira, nyingine tatu used, kuna kama nane hivi nimekamua siku ya pili tu ya kukutana nazo, kati ya hizo mbili bikira na sita used, ......etc,bikira iliyonisumbua kufungua maishani mwangu ilichukua wiki tatu, na moja ilihama kabla sijaifungua hivyo nikawa nimechemsha!!!!!!!!! bikira ya mwisho nimefungua miezi 14 iliyopita, lakini sasa nafikiria kustaafu kunyemelea bikira kwani sometimes ni risk


Sorry Mbunge.....unatia kinyaaa kwa kweli! one day unakamua nane? jamani....wewe hata King Mswati hakufikii....then unataka Ubunge?

Tena bado ile ya kumjengea nyumba kimada wako kule Kisukuru....waifu wako haijui hiyo.......! ukipewa madaraka, lazima lazima uyafuje wewe.......! please ID yako na useme wapi unataka kugombea tuzuia hii disaster!

haweki hiyo just forget about it!!!
 
Here we go......huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa.........! Lols kura yangu hata kwa mtutu hapati huyu........!

Mgombea Ubunge
user_online.gif

Mgombea Ubunge has no status.
JF Senior Expert Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Fri Nov 2009
Posts: 384
Thanks: 20
Thanked 148 Times in 96 Posts
Rep Power: 21
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Mara ya Kwanza!
hakuna lessoni yoyote hapo,

huo ni mtiririko kama wa proposal ya kuombea fedha kwa wafadhiri, lakini hali halisi ni tofauti, wengine hushindwa hata kuingiza siku ya kwanza kwa hofu, ushahidi upo wa kutosha kuwa wengine hata joto la mwili hupanda, na hata kifaa kinaweza kulegea kazi ikashindikana, baadhi ya bikira hutoa harufu ambayo wengine huita mbaya wengine huita manukato ya bikira kwa sababu ya hofu, hivyo ni mchakato tata kidogo unaohusisha saikolojia ya mtu.

ukitumia kondom ndio kabisaaaa unakimbiza hisia! ukikaribisha mawazo yanayohusu ukimwi umeua kifaaa moja kwa moja, labda ujaribu tena siku nyingine............

mimi nimewahi kukamua mtu nne siku ya kwanza tu na kati ya hizo nne, moja ilikuwa bikira, nyingine tatu used, kuna kama nane hivi nimekamua siku ya pili tu ya kukutana nazo, kati ya hizo mbili bikira na sita used, ......etc,bikira iliyonisumbua kufungua maishani mwangu ilichukua wiki tatu, na moja ilihama kabla sijaifungua hivyo nikawa nimechemsha!!!!!!!!! bikira ya mwisho nimefungua miezi 14 iliyopita, lakini sasa nafikiria kustaafu kunyemelea bikira kwani sometimes ni risk


Sorry Mbunge.....unatia kinyaaa kwa kweli! one day unakamua nane? jamani....wewe hata King Mswati hakufikii....then unataka Ubunge?

Tena bado ile ya kumjengea nyumba kimada wako kule Kisukuru....waifu wako haijui hiyo.......! ukipewa madaraka, lazima lazima uyafuje wewe.......! please ID yako na useme wapi unataka kugombea tuzuia hii disaster!
hommie BATHI BATHI BATHI!utaua

muleke hela bwana,
pedee huyu mkimama au mdimi?
na ni jimbo gani analitaka?
i hope sio njombe hommie!...lolz:D
 
nimeona afu nimeacha mdomo wazi binamu duh!!!! kweli umeweka rekodi sawa hapo....

Umeona eeeeh???

haweki hiyo just forget about it!!!

Asipoweka....tutaitafuta tena hapa hapa kijiweni! au akitaka aisiingie kny kinyang'anyiro kabisa au aseme alikuwa anajoke tu.......!

I assure u....nikipata five clear hrs za kuperuzi hapa JF tajua every thing!.....I love JF!
 
Umeona eeeeh???



Asipoweka....tutaitafuta tena hapa hapa kijiweni! au akitaka aisiingie kny kinyang'anyiro kabisa au aseme alikuwa anajoke tu.......!

I assure u....nikipata five clear hrs za kuperuzi hapa JF tajua every thing!.....I love JF!

hahaaa NL unamfanyia kazi ki-FBI siyo???? from the day he signed in na hilo wazo lake nilimkrash!!!!

i hated the fact that hakujua antaka kugombea jimbo gani?? atajua tamu na chungu za hoa anaotaka kuwawakilisha sasa!!!
 
hommie BATHI BATHI BATHI!utaua

muleke hela bwana,
pedee huyu mkimama au mdimi?
na ni jimbo gani analitaka?
i hope sio njombe hommie!...lolz:D

Ha!ha!ha!ha!ha!aaaa....hommmy alinikera sana kny ile post aisee.....siunajua na mimi nina 4yrs old binti, can I magine kanaweza kuja kutana na hii mibarazuli .....arrrrrrgg!

Ww for sure sio NJ Mgoyo.....takuwa kwingine? Tukiinvest kusearch will know wapi analenga.........!
 
Ha!ha!ha!ha!ha!aaaa....hommmy alinikera sana kny ile post aisee.....siunajua na mimi nina 4yrs old binti, can I magine kanaweza kuja kutana na hii mibarazuli .....arrrrrrgg!!

Naona home boy umeamka sasa hivi.
Vp kwema huko? Umejipangaje na kumng'oa yule babu anae taka kuendelea kulikalia jimbo letu.
 
hahaaa NL unamfanyia kazi ki-FBI siyo???? from the day he signed in na hilo wazo lake nilimkrash!!!!

i hated the fact that hakujua antaka kugombea jimbo gani?? atajua tamu na chungu za hoa anaotaka kuwawakilisha sasa!!!

Nakumbuka pia na wengi walimchallenge sana ukiangalia ile post........! kifupi to me he doesn't know what he is supposed to be doing!
 
Naona home boy umeamka sasa hivi.
Vp kwema huko? Umejipangaje na kumng'oa yule babu anae taka kuendelea kulikalia jimbo letu.

Ha!ha!ha!aaaa...kaniamsha mbunge mtarajiwa aiseeeee......!

Daaah kule kwa babu ni kwa kina Geoff ujue, sisi tupo na bi Mkubwa wa Mjengoni......anasema tumwachia kipindi kimoja.......! see me there come 2020 mzee.....! either kama mgombea au mpambe!
 
Nakumbuka pia na wengi walimchallenge sana ukiangalia ile post........! kifupi to me he doesn't know what he is supposed to be doing!

I also hope he is not serious kwenye suala zima la kugombea ubunge.......
 
Here we go......huyu ndiye mbunge wenu mtarajiwa.........! Lols kura yangu hata kwa mtutu hapati huyu........!

Mgombea Ubunge
user_online.gif

Mgombea Ubunge has no status.
JF Senior Expert Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Fri Nov 2009
Posts: 384
Thanks: 20
Thanked 148 Times in 96 Posts
Rep Power: 21
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Mara ya Kwanza!
hakuna lessoni yoyote hapo,

huo ni mtiririko kama wa proposal ya kuombea fedha kwa wafadhiri, lakini hali halisi ni tofauti, wengine hushindwa hata kuingiza siku ya kwanza kwa hofu, ushahidi upo wa kutosha kuwa wengine hata joto la mwili hupanda, na hata kifaa kinaweza kulegea kazi ikashindikana, baadhi ya bikira hutoa harufu ambayo wengine huita mbaya wengine huita manukato ya bikira kwa sababu ya hofu, hivyo ni mchakato tata kidogo unaohusisha saikolojia ya mtu.

ukitumia kondom ndio kabisaaaa unakimbiza hisia! ukikaribisha mawazo yanayohusu ukimwi umeua kifaaa moja kwa moja, labda ujaribu tena siku nyingine............

mimi nimewahi kukamua mtu nne siku ya kwanza tu na kati ya hizo nne, moja ilikuwa bikira, nyingine tatu used, kuna kama nane hivi nimekamua siku ya pili tu ya kukutana nazo, kati ya hizo mbili bikira na sita used, ......etc,bikira iliyonisumbua kufungua maishani mwangu ilichukua wiki tatu, na moja ilihama kabla sijaifungua hivyo nikawa nimechemsha!!!!!!!!! bikira ya mwisho nimefungua miezi 14 iliyopita, lakini sasa nafikiria kustaafu kunyemelea bikira kwani sometimes ni risk
--------

Sorry Mbunge.....unatia kinyaaa kwa kweli! one day unakamua nane? jamani....wewe hata King Mswati hakufikii....then unataka Ubunge?

Tena bado ile ya kumjengea nyumba kimada wako kule Kisukuru....waifu wako haijui hiyo.......! ukipewa madaraka, lazima lazima uyafuje wewe.......! please ID yako na useme wapi unataka kugombea tuzuia hii disaster!

Next Level, really ur Next Level, UNATISHA!

Je hii ndiyo type ya Wabunge wetu? Maana yasemekana ma-CD wa Dar na Moro huwa wanahamia Dom wakati wa vikao vya Bunge...

Mnakumbuka lile sakata la mbunge toka Zanzibar (CCM) aliyekuwa anakula binti wa Primary School huko Dom, na akamuoa wakati ameanza tu Form One?

Vp Mbunge mtarajiwa, una la kusema?

Ila kwa nchi hii (miTanzania jinsi tulivyo) usishangae hiyo CV ya ngono ya Mgombea Ubunge ikawa ni sifa positive kwa wapiga kura, au at least si kitu kibaya (Ref. Mgombea urais 2005).

Matokeo yake kichwa kidogo ndicho kinaongoza katika kutoa maamuzi...
 
Back
Top Bottom