beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
beibe nasty nina mwezi mzima jino linanisumbua sasa leo nimeamua nijiandae niende hospitali mwenzenu.
Mtafute Francis Cheka au Mada Maugo!!!!!beibe nasty nina mwezi mzima jino linanisumbua sasa leo nimeamua nijiandae niende hospitali mwenzenu.
Njoo nikung'oe! Pia pole .
B52 hebu muulize vizuri huyu judgement,Jg kwani we dr?
We huwez kwan? Hebu jaribu basii mandietaMtafute Francis Cheka au Mada Maugo!!!!!
AsanteeeeKaaazi kweli kweli!!
Haya pole!!
beibe nasty nina mwezi mzima jino linanisumbua sasa leo nimeamua nijiandae niende hospitali mwenzenu.
Halafu kanishangaza sana aiseeB52 hebu muulize vizuri huyu judgement,
beibe nasty nina mwezi mzima jino linanisumbua sasa leo nimeamua nijiandae niende hospitali mwenzenu.
Pole sana..
Hahahaaa jaman yan hapa nawaza sindano ya ganziduh sa litaota lin tena au sababu nilikwambia napenda mwanya umeamua uutengeneze wa lazima.!!?
Halafu kanishangaza sana aisee
Hivi beibe nasty wakati uko mwanza alikutafuta au alipiga Kimya??
Jg kwani we dr?
Mwanza hiyo mamdenyi naenda redcross nimeambiwa ni wazuripole sana,
kama uko dsm
nenda hapo regency hospital
wanatoa meno vizuri sana.
Kwani lazima awe dr.?si anachukua
Tu prize analilegeza halafu anafunga kamba anaenda umbali wa mita 2 anavuta kitu kinang'oka halafu ganzi unamwekea pilipili likishang'oka anasukutua kwa alovera
Mmmmmh secretary hunipendiii