Carbondioxide
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 733
- 194
- Thread starter
- #141
InasinZi kabca tena h@ix!mam£.Nikumbuke nini mkuu?Bao moja inasizi kabsa au tena inasimama? Maana bao moja si upungufu wa nguvu za kiume bali kumbuka
InasinZi kabca tena h@ix!mam£.Nikumbuke nini mkuu?Bao moja inasizi kabsa au tena inasimama? Maana bao moja si upungufu wa nguvu za kiume bali kumbuka
Sasa alivyokuwa anakuambia unachepuka na waume za watu alikuwa anadanganya?Wewe si ilikuwa unaona raha kunitukana?
Mungu si Athuman,nawe imefika siku yako na tena umejitukana mwenyewe.
Hahahahahaaa
Nazani wazima memba wenzanguni.
Nikikutana na Malkia Elizabeth kunako sita kwa sita huwa naenda bao moja tu! Sirudii tena nini tatizo? na nifanyeje ili niendege bao tatu au kumi nakuendelea nitakapokuwa na Mamito wangu?
Ushauri tafadhali!!!
Hakuwa akidanganya,ni kweli kabisa.Sasa alivyokuwa anakuambia unachepuka na waume za watu alikuwa anadanganya?
Inaanza na kwichi Kwichi Kwichi vibao pwaa pwaa fck me baby..... Inaisha na Oooh yeah am cuming
Sasa mbona unalalamika kwamba alikuwa anakutukana?Hakuwa akidanganya,ni kweli kabisa.
kawaida.hahahahhhhha umebambwaaa
kupungukiwa nguvu za kiume kunaweza kusababishwa na mambo mbali mbali yawezekana vyakula unavyokula havinavirutubisho vya kutosha au unafanya kazi zinazokupa stress sana na mambo mengi mengineyo
nakushauri tumia KINGS ni herbal na inamchanganyiko wa virutubisho vingi kama ginsenoside ganodema cordcepts
kings itakusaidia mzunguko wa damu kuwa mzuri na kukuma nguvu mwilini na itarejesha kabisa uweza wako wa bao hata nne
kwa maelezo zaidi tembelea
www.taslytanzania.blogspot.com
whatsapp: +255758768855
Call: +255716768855
Kamati ya wanaume marijali inaishikiria leseni yako ya uanaume kwa muda usiojulikana mpaka pale utakapolimaliza tatizo lako....na kamati itakapojiridhisha....
Nimekuelewa mkuu tutaendelea kuwA Pamoja.Kula dona kila siku, fanya mazoez, usikamie sana wakati wa gemu, kula karanga na asali kila siku kijiko kimoja tu asali ya nyuki wadogo. Usinywe pombe sana. Kula mboga za majani kwa wingi na samaki mchuzi wake samaki wowote tu
Pole sana mkuu.Mabao hayahusiani kabisa na mapenzi ya kweli watu ndo tumekariri vibaya.Mwanamke akiamua kukupenda hata kama una nusu bao haijalishi.Cha msingi mjali kwa vitendo labda kama unatoka na wasichana tofaut tofaut.Ila kama ni mmoja mpende na umjali wala hiyo sio issue ya kukupa stress.Jiamini tuu labda baadae yataongezeka ila sio suala la kukupa stress.
So mnataka mpaka mtu aombe poo?au maji aite mma?Ha ha ha kutiwa moyo kwa kadanganywa jamani? Yani upige kimoja afu uambiwe "baby you are de fire"
Mkuu ebu tufundishe namna ya kubana na kufunga muda unaotaka maana wengne hutuwia ngum yaan tunapiga free kick bila kuweka gamban doh nasubr elim mkuuTatizo ni bao moja au kumridhisha mwenza wako na wewe kuridhika pia?
Yajue maeneo hatarishi ya mwenza wako kisha jifunze kuzuia ule mlipuko wa volcano huku ukiyatumia vizuri hayo maeneo mpaka pale utakapo ona mwenzio kafika kileleni pangalau mara tatu.
Wenzio huwa tunaamua muda wa kufunga hilo moja baada ya kuona timu pinzani ipo hoi kwa chenga,tobo na kanzu.