Vipi Habari za India ? Tunasubiri .
Sasa Jb India si ushafika?
Timiza ahadi basi!!!
Nipo ktk msafara wa bwana Zito tayari kuungana na wagonjwa wenzake pale India, nitawajuza juu ya hali ya Kamanda Mwakyembe!
Naomba sana:
Usinihoji chochote juu ya Zito au Mwakyembe
Usilulize tupo wangapi ktk msafara
Nitawaeleza yote baada ya kufika India!
mbona na mimi niko kwenye huo msafara?tufahamiane ati
Sasa Jb India si ushafika?
Timiza ahadi basi!!!
kuwa mpole...
Nipo ktk msafara wa bwana Zito tayari kuungana na wagonjwa wenzake pale India, nitawajuza juu ya hali ya Kamanda Mwakyembe!
Naomba sana:
Usinihoji chochote juu ya Zito au Mwakyembe
Usilulize tupo wangapi ktk msafara
Nitawaeleza yote baada ya kufika India!
Sasa Jb India si ushafika?
Timiza ahadi basi!!![/QUOTE
Ndege ilikwama kwenye matope