Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Safari njema mkuu tunategemea taarifa toka kwako Mungu wangu alie mwaminifu sana ataifanya safari yako kuwa ya heri na baraka
Haleluya
Safari njema mkuu tunategemea taarifa toka kwako Mungu wangu alie mwaminifu sana ataifanya safari yako kuwa ya heri na baraka
Sasa wewe nimekusaidia gari kinyemela halafu unalirusha hewani, unataka mi nifukuzwe kazi hapa Wizarani!? Hujui kuwa mi nawadanganya kuwa mi ma-gamba japo nawachimba chinichini....na hilo gari wanalijua.
Tangulia Mwalimu
Mgeni wenu huogopi mbana ujasiri wako unapitiliza? magamba sio watu wazuri bado tunakuhitaji.Tumelipita roli la ukombombozi la CHADEMA maarufu kama Big Sound linakwenda
Arusha
nshachoka na CCM chochote sawaMgeni wenu huogopi mbana ujasiri wako unapitiliza? magamba sio watu wazuri bado tunakuhitaji.
nshachoka na CCM chochote sawa
Wana JF kama nilivyoahidi kuwa ijumaa nitaondoka kulekea Arumeru kuhakikisha naripoti kila ninachokiona huko kwa sasa nipo Segera nasubiri usafiri,Mwigulu nakuja kuhakikisha this time picha za video zinapanda you tube
Mkuu safari njema,tuko pamoja......mtegemee MUNGU maana magamba wanaweza kukuvizia njian
Hatua ya kwanza ni kujua ile kambi ya Wazinzi iko wp(akina Mwigulu)