NADHIRI: Unapoiweka usisahau kuikamilisha na kuiondoa

At your service Mama Mchungaji

Mwanzo 28:20-22
20: Yakobo aliweka nadhiri akisema; Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae

21: Nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo BWANA atakuwa Mungu wangu

22: Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa, hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Kama nipo sahihi Yakobo alikuja kuiondoa nadhiri yake baada ya miaka 20 ( baada ya kutoka utumwani kwa Labani) Mwanzo 35: 6-15

6: Basi Yakobo akafika Luzu, ulio katika nchi ya Kaanani, ndio Betheli, yeye na watu wote waliokuwa pamoja naye

7: Akajenga huko madhabahu, akapaita mahali pale El- Betheli; kwa sababu huko Mungu alimtokea, hapo alipomkimbia ndugu yake.......
Thnx alot .Thats Y nakupenda bure mumy.

Kwa hiyo tunaona yakobo aliiondoa nadhir baada ya Mungu kumtendea yote aliyo yataka.

Our God is good; good indeed.

Vifungu vya maandiko vimejitosheleza; haijalishi miaka mingap imepita lakin bado Mungu anaikumbuka na ataitimiza.
 
At your service Mama Mchungaji

Mwanzo 28:20-22
20: Yakobo aliweka nadhiri akisema; Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae

21: Nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo BWANA atakuwa Mungu wangu

22: Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa, hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi.

Kama nipo sahihi Yakobo alikuja kuiondoa nadhiri yake baada ya miaka 20 ( baada ya kutoka utumwani kwa Labani) Mwanzo 35: 6-15

6: Basi Yakobo akafika Luzu, ulio katika nchi ya Kaanani, ndio Betheli, yeye na watu wote waliokuwa pamoja naye

7: Akajenga huko madhabahu, akapaita mahali pale El- Betheli; kwa sababu huko Mungu alimtokea, hapo alipomkimbia ndugu yake.......
Asanteni kwa kujitoa bila kinyongo kutumikia
Hakuna maombi yanayo jibu kama maombi ya nadhiri;

Sababu lazima Mungu afanye. Shida inapokuja tunasahau kuitoa;

Au ukipata mfano pesa unataka kuitoa ili kukamilisha nadhiri unapata jaribu mbele na pesa hiyo hiyo uliyo ahidi ( nadhiri) ndiyo uliyo nayo

Kosa# watu huwa tunawaza kuwa kuwa Mungu anasamehe au atasubiri; nitampa siku nyingine nikipata.

# yan unaona tatizo lililo mbele yako ni kubwa kuliko ahad uliyo mpa Mungu.

Yakupasa uishinde nafsi yako; mpe Mungu cha kwake na hilo tatizo lako lililo jitokeza litasubir.

Ukifanya hivyo Mungu anaona kaheshimiwa sana

Na atakupa pesa ya kusolve tatizo ulilo nalo ni kwasababu tu umempa nafas ya kwanza.

# Nani hapend kuheshimiwa? Kama wewe binadamu unapenda heshima Je? Mungu hapendi heshima?

Nani hapendi kutimiziwa ahadi? Kama ww tu mtu akikuahid nitakuoa au utanioa halafu baadaye ana ghair . au una ahidiwa zawad halafu huletew on time au ahad yeyote ile hutimiziw.

Umewahi kuwaza au kuhis maumiv au disappoint utakayo ipata.
Vip kuhusu Mungu wetu ambapo hatumtimizii nadhir zetu?

Binadamu aliye muumba mwenyewe kwa mikono yake halafu hafanyi alichotakiwa kufanya.

Mungu ni wa rehema sana na upendo ndio maana hatuangamii

Kama uliweka nadhir hukuiondoa na kama bado unaweza kuiondoa kwa muda huu

Ingia toba kwa Mungu kwa kutolipa nadhir yako kwake

Tukijirud naye ataturudia sisi

Omba toba kwa kutolipa kwa wakat sahihi
Halafu lipa hiyo nadhir

Kama huna uwezo nayo omba toba hivyo sio kwa siku moja omba had utakapo pata amani kuwa sasa Mungu kasikia toba yangu.

Omba toba ili nafsi yako iwe huru hata kama umesahau nadhir ipi ingia toba kwa Mungu.

Mungu atusamehe watoto wake sis ni wakosefu kila siku
 
Asanteni sana nyote kwa namna ya kipekee, nimefarijika sana na somo hili la NADHIRI nimemkosea sana MUNGU wangu. Nina imani nimetoa nadhiri at one time or another na nimesahau....ohh..
 
Sasa kama uliweka nadhili ya kutofanya jambo furani lakini kutokana na ugumu wa maisha ukafanya utafanyaje kumludia Mungu wako tena
 
Thnx alot .Thats Y nakupenda bure mumy.

Kwa hiyo tunaona yakobo aliiondoa nadhir baada ya Mungu kumtendea yote aliyo yataka.

Our God is good; good indeed.

Vifungu vya maandiko vimejitosheleza; haijalishi miaka mingap imepita lakin bado Mungu anaikumbuka na ataitimiza.
Weee nijikute tu naacha kuambatana na Mama Mchungaji hahaha
Asanteni kwa kujitoa bila kinyongo kutumikia
Amen brod
 
aiseee nakumbuka wkt nimemaliza chuo nilkua nawaza,just kuwaza ati nikipata kazi mshahara wa kwanza nitamtolea Mungu......hapo nilikua nasali tu wala sikuokoka!!....... badae nikapata kazi wala hio sadaka sikutoa na na hata church nikawa siend ofcourse mazingira yalichangia..........ila saiz nimeacha hio kazi nipo nafanya shughuli zangu........ hili mnanishauri vipi watu wa Mungu
cc Divine... Heaven Sent mshana jr
 
aiseee nakumbuka wkt nimemaliza chuo nilkua nawaza,just kuwaza ati nikipata kazi mshahara wa kwanza nitamtolea Mungu......hapo nilikua nasali tu wala sikuokoka!!....... badae nikapata kazi wala hio sadaka sikutoa na na hata church nikawa siend ofcourse mazingira yalichangia..........ila saiz nimeacha hio kazi nipo nafanya shughuli zangu........ hili mnanishauri vipi watu wa Mungu
cc Divine... Heaven Sent mshana jr

Nadhir au ahad sio lazima uokoke ndio iwe nadhir; hata kama husali; bado Mungu ni Mungu wa wote sema tu kuna mamlaka zinatofautiana ktk ulimwengu wa roho.

Bt Mungu anatunza nadhir na atafanya.

Yesu alikuja kutafuta kilicho potea na alikuja kwaajil ya wagonjwa na sio kwaajil ya wazima

Inabid uiondoe.

Mm ninavyo fahamu nadhir ni hiv

Unasema Mungu mimi ukinifanyia hiv nitakufanyia hiv na hiv.
Au ukinivusha hapa Mungu nitakutolea kias fulan cha pesa.

Shida watu huwa tunatoa nadhir bila kujijua
 
Kumbe mshana ukitulia unaweka points za ukwel!!! Maana nikianza kufungua posts zako huwa naandaa pituitary gland kwa ajili ya kupambana na nitakachokikuta km sio uchawi basi za kutisha, ila asante big up, ni vizur kutimiliza nadhir tuliyoweka isijegeuka na kuwa laana.
 
Ndugu yangu mgeukie Muumba wako ktk siku za maisha yako hapa duniani, hiyo kazi ni yy kakupa wala hahitaj mshahara wako,Mungu anachotaka ni roho yako kumgeukia yeye, fedha na dhahabu vyote ni vyake hivyo mkabidhi maisha yako kwake kwa kuokoka na kuachana na dhambi naye atakuweka huru, leo unaijua lkn hujui hata sekunde moja ya mbelen itakuaje, leo upo hai ukifa hujui ni wap unaelekea lkn ukimkabidhi maisha yako kwake, utakua salama dunian na mbingun, Unahitaji kuokoka ndugu yangu, Mungu akutie nguvu kuukubali uamuzi wake huo
 
Ndugu yangu mgeukie Muumba wako ktk siku za maisha yako hapa duniani, hiyo kazi ni yy kakupa wala hahitaj mshahara wako,Mungu anachotaka ni roho yako kumgeukia yeye, fedha na dhahabu vyote ni vyake hivyo mkabidhi maisha yako kwake kwa kuokoka na kuachana na dhambi naye atakuweka huru, leo unaijua lkn hujui hata sekunde moja ya mbelen itakuaje, leo upo hai ukifa hujui ni wap unaelekea lkn ukimkabidhi maisha yako kwake, utakua salama dunian na mbingun, Unahitaji kuokoka ndugu yangu, Mungu akutie nguvu kuukubali uamuzi wake huo
 
Mpendwa nadhiri inawekwa na mtu yeyote sio lazima awe mlokole. Ingawa kutimilizwa kwa nadhiri yako kunategemea sana jinsi unavyosimama na Mungu wako. Tena kumbuka ulikuwa katika wakati wako wa tabu, so pale uliiweka nadhiri, una deni na Mungu. Unajua mshahara wako wa Kwanza ulikuwa sh ngapi (naamini you can afford it), itakuwa vizuri uikamilishe, omba toba coz hukuitoa kwa muda ule ule Mungu alipokutimizia nadhiri yako. It's not too late, umeona Yakobo aliiondoa nadhiri yake baada ya miaka 20, fanya hivyo ili ukaishi kwa amani. Mungu akubariki, ila next time kuwa makini kabla ya kuweka nadhiri. Ni bora usiweke nadhiri kabisa, kuliko kuweka afu ukashindwa kuiondoa
aiseee nakumbuka wkt nimemaliza chuo nilkua nawaza,just kuwaza ati nikipata kazi mshahara wa kwanza nitamtolea Mungu......hapo nilikua nasali tu wala sikuokoka!!....... badae nikapata kazi wala hio sadaka sikutoa na na hata church nikawa siend ofcourse mazingira yalichangia..........ila saiz nimeacha hio kazi nipo nafanya shughuli zangu........ hili mnanishauri vipi watu wa Mungu
cc Divine... Heaven Sent mshana jr
 
Mpendwa nadhiri inawekwa na mtu yeyote sio lazima awe mlokole. Ingawa kutimilizwa kwa nadhiri yako kunategemea sana jinsi unavyosimama na Mungu wako. Tena kumbuka ulikuwa katika wakati wako wa tabu, so pale uliiweka nadhiri, una deni na Mungu. Unajua mshahara wako wa Kwanza ulikuwa sh ngapi (naamini you can afford it), itakuwa vizuri uikamilishe, omba toba coz hukuitoa kwa muda ule ule Mungu alipokutimizia nadhiri yako. It's not too late, umeona Yakobo aliiondoa nadhiri yake baada ya miaka 20, fanya hivyo ili ukaishi kwa amani. Mungu akubariki, ila next time kuwa makini kabla ya kuweka nadhiri
Naomba umjibu huyo Dong yi cz nw hana kazi afanyaje? Na hiyo nadhiri.
 
Back
Top Bottom