msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
kuna siku nilikuja na thread yenye kickwa hiki nisaidieni-nifanyeje-kuhusu-gf-wangu
kwa ufupi nilikuwa napewa taarifa na mdogo yake ambaye ni rafiki yangu sana kuwa dada yake sio mwaminifu kwangu na hata kudhani huenda ananitaka lkn inawezekana pia.
Sasa kilichonifanya kurudisha humu mmu hili suala ni kuwa wiki iliyopita alinipigia kuwa anaenda moro kumuona mgonjwa na ameagizwa huko na mama,alifika moro saa 4 usiku na wkt nawasiliana nae akaniambia kuwa amepigiwa simu kuwa ameambiwa mgonjwa kahamishiwa mkoa huu niliopo kwa hiyo ikabidi aunganishe safari na kwa kuwa kutoka hapa mjini mpaka alipotakiwa kwenda ni mbali aliniomba nimtafutie chumba cha kulala na sio nyumbani kwangu ambapo kwa sababu alizotoa nilizikubali,nikamtafutia na asbh nikamsindikiza akaenda alipotakiwa kwenda na kuahidiana kuwa siku hiyo angekuja nyumbani kulala kwani kesho yake ilikuwa arudi.Mchana yake tuwasiliana nae na kuniambia saa 12 atakuja lakini hakuja na simu zote zilikuwa haziptikani na nishindwa kujua km aliondoka kuja na njiani akapata mkasa au hakuondoka kabisa siku hiyo ikapita nikiwa na mawazo sana,siku iliyokuwa ya safari nikawasiliana na mdogo wake naye akasema hampati na hajui kwa nini ila kuna namba moja ya alikuwa anaitumia yenyewe ilikuwa hewani lkn haipokelewi.
nikamtafuta siku hiyo mpaka saa 5 ucku namba ikiwa haipokelewi na hatimaye ikapokelewa na dada yake mkubwa na kuniambia kuwa gf wangu aliiacha ile line wakati anasafiri na huyo dada ndo alikuwa anaitumia,kesho yake asbh akanipigia kwahiyohiyo namba na kuniambia kuwa dada yake amemwambia kuwa nimepiga sana kwenye hiyo namba na kuniambia kuwa yaliyojiri kuwa aliibiwa simu zote 2 alipokuwa ameenda mjini na aliporudi alikuta tiketi tayari imekatwa akashindwa kuaga kuja huku,.
siku ile nilipoona mambo yamekuwa magumu niliamua kumshirikisha bianmu yake ambaye tuko naye hapa karibu na kumueleza mkasa mzima kwani safari hiyo ilikuwa siri kwetu wawili na nikahisi kama aliondoka na akapata tatizo njiani na mie ndo nilikuwa najua anakuja kwangu je ndg zake wakijua kuwa mie nilikuwa najua si itakuwa msala ikabidi niseme.sasa jana wkt tumekana na huyo binamu tukaanza kuongelea hilo sula ila akaniambia kuwa yule dada lkn hajatulia na hapo alikuwepo mtoto wa baba yake mkubwa akadakia hivi huyu binti pamoja na kuwa na mtoto bado anatamani kurukaruka?!Dah nilisikia km nimewekewa kaa la moto moyoni ndipo nilipoulizia na kuambiwa kuwa ana mtoto mmoja na alizaa akiwa f2 lkn mie nilikuwa nafichwa sku zote jamani na leo tumeongea nae lkn sijamwambia kuhusiana na hilo ila ndo nafikia maamuzi mepesi jamani maana kesho 19/11/11 nadhani nitakuwa single kwani nimechoka maana nimedanganywa siku nyingi sana ila kwa kuwa nilikuwa nampenda niliamini ktk mabadiliko.
hata hawa ndg zake kwa ni marafiki zangu sana wamenishauri nitafute mtu wakuwa naye na sio huyo kwani haendani na mie na ukizingatia sasa nakimbilia 30 yrs na ninahitaji kuwa na mtu ambaye anamwelekeo wa kuwa mke!!!!!!!!!
nimechoka ila nashukuruni kwa ushauri wenu hapo awali
kwa ufupi nilikuwa napewa taarifa na mdogo yake ambaye ni rafiki yangu sana kuwa dada yake sio mwaminifu kwangu na hata kudhani huenda ananitaka lkn inawezekana pia.
Sasa kilichonifanya kurudisha humu mmu hili suala ni kuwa wiki iliyopita alinipigia kuwa anaenda moro kumuona mgonjwa na ameagizwa huko na mama,alifika moro saa 4 usiku na wkt nawasiliana nae akaniambia kuwa amepigiwa simu kuwa ameambiwa mgonjwa kahamishiwa mkoa huu niliopo kwa hiyo ikabidi aunganishe safari na kwa kuwa kutoka hapa mjini mpaka alipotakiwa kwenda ni mbali aliniomba nimtafutie chumba cha kulala na sio nyumbani kwangu ambapo kwa sababu alizotoa nilizikubali,nikamtafutia na asbh nikamsindikiza akaenda alipotakiwa kwenda na kuahidiana kuwa siku hiyo angekuja nyumbani kulala kwani kesho yake ilikuwa arudi.Mchana yake tuwasiliana nae na kuniambia saa 12 atakuja lakini hakuja na simu zote zilikuwa haziptikani na nishindwa kujua km aliondoka kuja na njiani akapata mkasa au hakuondoka kabisa siku hiyo ikapita nikiwa na mawazo sana,siku iliyokuwa ya safari nikawasiliana na mdogo wake naye akasema hampati na hajui kwa nini ila kuna namba moja ya alikuwa anaitumia yenyewe ilikuwa hewani lkn haipokelewi.
nikamtafuta siku hiyo mpaka saa 5 ucku namba ikiwa haipokelewi na hatimaye ikapokelewa na dada yake mkubwa na kuniambia kuwa gf wangu aliiacha ile line wakati anasafiri na huyo dada ndo alikuwa anaitumia,kesho yake asbh akanipigia kwahiyohiyo namba na kuniambia kuwa dada yake amemwambia kuwa nimepiga sana kwenye hiyo namba na kuniambia kuwa yaliyojiri kuwa aliibiwa simu zote 2 alipokuwa ameenda mjini na aliporudi alikuta tiketi tayari imekatwa akashindwa kuaga kuja huku,.
siku ile nilipoona mambo yamekuwa magumu niliamua kumshirikisha bianmu yake ambaye tuko naye hapa karibu na kumueleza mkasa mzima kwani safari hiyo ilikuwa siri kwetu wawili na nikahisi kama aliondoka na akapata tatizo njiani na mie ndo nilikuwa najua anakuja kwangu je ndg zake wakijua kuwa mie nilikuwa najua si itakuwa msala ikabidi niseme.sasa jana wkt tumekana na huyo binamu tukaanza kuongelea hilo sula ila akaniambia kuwa yule dada lkn hajatulia na hapo alikuwepo mtoto wa baba yake mkubwa akadakia hivi huyu binti pamoja na kuwa na mtoto bado anatamani kurukaruka?!Dah nilisikia km nimewekewa kaa la moto moyoni ndipo nilipoulizia na kuambiwa kuwa ana mtoto mmoja na alizaa akiwa f2 lkn mie nilikuwa nafichwa sku zote jamani na leo tumeongea nae lkn sijamwambia kuhusiana na hilo ila ndo nafikia maamuzi mepesi jamani maana kesho 19/11/11 nadhani nitakuwa single kwani nimechoka maana nimedanganywa siku nyingi sana ila kwa kuwa nilikuwa nampenda niliamini ktk mabadiliko.
hata hawa ndg zake kwa ni marafiki zangu sana wamenishauri nitafute mtu wakuwa naye na sio huyo kwani haendani na mie na ukizingatia sasa nakimbilia 30 yrs na ninahitaji kuwa na mtu ambaye anamwelekeo wa kuwa mke!!!!!!!!!
nimechoka ila nashukuruni kwa ushauri wenu hapo awali