Wana JF, mimi nu mtu nafikiri nian post chache sana hapa jukwaani. Ninaipenda san JF na naheshimu sana mawazo ya watu, kuna kitu kinanishangaza na sijui kama ni mimi tu, watu waliojiunga na JF just before the elections and after, naona wanakuja na thread za ajabu sana (ingawa hata mimi sijajiunga muda mrefu) hivi kweli thread kama hii ni a great thinkers kukaa na kujadili? I think it is time tupost vitu vya maana vya kujadili. Samhani kama nitawaudhi wana JF wenzangu kwa comment yangu
Jamani,
Mwenzenu nilisafiri jana kikazi mbali kiasi cha kutosha na kwangu. Mchana wa leo wife kaniandikia msg anasema kuna mtu ananitafuta, nikamwambia si umwambie sipo nitarudi keshokutwa? Akasema naogopa, na anakuja kulala kwetu. Nitamtandikia sebuleni. Kijumba tulichopanga ni kidogo sana, na hakina nafasi ya kulala wageni. lakini bado mgeni kakaribishwa. Napiga simu usiku wife hapokei simu hadi iite mara tatu. Na si kawaida yake hata kidogo.
Jamani kuna usalama hapo, au NDIO NIMEKUWA BUSHOKE?