mwambunnyara
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 518
- 206
Nimehitimu chuo mwaka 2013,bodi ya mikopo ilinikopesha tangu naanza mwaka wa kwanza mpaka mwisho,baada ya kufanya kazi kidogo,nafikiria kwenda masomoni kusomea degree nyingine,(sio masters),nafikiria kulipa kiasi Fulani cha deni langu LA awali,then niombe kukopeshwa tena na bodi yetu,kwa mlio wazoefu na hii kitu,naweza kukopesheka kweli???